• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

HALMASHAURI YA MJI MAFINGA YAPATA HATI SAFI YA UKAGUZI KUTOKANA NA TAARIFA YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI (CAG) KWA HESABU ZINAZOISHIA TAREHE 30 JUNI 2024

Posted on: June 19th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa lringa Mhe. Peter Serukamba ameipongeza Halmashauri ya Mji Mafinga kwa kupata Hati Safi ya Ukaguzi kutokana na taarifa ya MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Kwa Hesabu zinazoishia Tarehe 30 Juni, 2024.


“Kupatikana kwa” HATI SAFI” ni Ushirikiano baina ya Ofisi ya Mkuu wa Wilaya, Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya, Mbunge, Waheshimiwa Madiwani pamoja na wataalamu wa Halmashauri husika. “


Amesema lengo ni kuondoa kabisa Hoja katika Halmashauri zote katika Mkoa wa Iringa kwani Maana ya Hoja ni kuwa Hakuna usimamizi na utaratibu wa matumizi ya Fedha katika

Halmashauri husika.


“Niagize tuheshimu na Tufuate sheria, kanuni na taratibu katika manunuzi yote ya Umma, niagize fedha zote zilizokopeshwa na zipo nje hazijarejeshwa zirejeshwe na vikundi vyote vinavyodaiwa vilipe fedha zote za mikopo.


Mheshimiwa Serukamba amesema lengo ni marejesho kurejeshwa na watu wengine waweze kukopa. Hivyo ameagiza zifanyike jitihada za Makusudi za kuhakikisha marejesho ya Mikopo ya asilimia 10 yanarejeshwa.


Naye Katibu Tawala Mkoa wa Iringa Bi. Doris Kalasa ameipongeza Halmashauri kwa kupata Hati Safi kwa hesabu za zinazoishia Juni 30 2024na kuagiza kuhakikisha vituo vyote vya kutolea huduma za Afya vinafunga mfumo wa gothomis na kuhakikisha

Fedha zinazovuka mwaka ziombewe kibali.


Mkutano huo wa Baraza la Madiwani la kujadili taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali umehudhuriwa na Katibu Tawala Mkoa wa Iringa Bi. Doris Ntuli Kalasa Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa Iringa, Mkuu wa Wilaya ya Kilolo Mheshimiwa Rebeca Msemwa kwa niamba ya Dkt. Linda Salekwa, Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya ya Mufindi, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Mafinga, Mkurugenzi Mji Mafinga na Timu ya Menejimenti.


Na Sima Bingileki

Afisa Habari Mkuu- Mafinga TC




Picha mbalimbali za Waheshimiwa Madiwani na Wakuu wa Idara na Vitengo wakisikiliza hotuba ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mheshiwa Piter Serukamba.

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA VIFUNGWE MFUMO WA GoT-HOMIS

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA YAPATA HATI SAFI YA UKAGUZI KUTOKANA NA TAARIFA YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI (CAG) KWA HESABU ZINAZOISHIA TAREHE 30 JUNI 2024

    June 19, 2025
  • HALMASHAURI YA NKASI YAITEMBELEA MAFINGA MJI KUBADILISHANA UZOEFU

    June 18, 2025
  • MWANZA NA DODOMA ZATINGA FAINALI SOKA WAVULANA UMITASHUMTA 2025

    June 17, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.