• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

HALMASHAURI YA MJI MAFINGA YASAINI MIKATABA YA LISHE

Posted on: November 13th, 2023

Halmashauri ya Mji Mafinga tarehe 27/10/2023 imesaini mikataba miwili ya lishe ya miaka 8 ngazi ya jamii ambayo ni baina ya Mkurugenzi wa Mji Mafinga na Watendaji wa Kata na mkataba wa pili ni baina ya Watendaji wa Kata na watendaji wa mitaa na Vijiji.

Akizungumza Afisa Lishe Halmashauri ya Mji Mafinga Ndugu Salum Atlas  amevitaja viashiria vya  Utekelezaji wa Mikataba hiyo kuwa ni:-

-Asilimia ya vikao vya maendeleo ya Kata vilivyofanyika kujadili agenda ya lishe kwa robo ya kwanza.

-Asilimia  ya Vijiji/ Mitaa iliyotekeleza maadhimisho ya Siku ya Afya na Lishe ya Mitaa.

-Asilimia ya Mitaa iliyowasilisha taarifa za utekelezaji wa afua za lishe ngqzi ya jamii.

  • Asilimia ya Mitaa iliyoandaa taarifa za hali ya lishe kwa watoto chini ya miaka mitano, wanawake wajawazito na kubandika kwenye mbao za Matangazao.
  • Uwepo utaratibu wa kuwabana walezi wenye watoto chini ya miaka mitano juu ya afya na lishe ya mtoto.
  • Idadi ya Kaya zilizotembelewa na WAJA kulinganisha na idadi ya kaya zenye wajawazito pamojq na
  • Hali ya Upatikanaji chakula cha Mchana shuleni kwa kila kata.

Ameongeza kuwa katika kulifanikisha suala la mikataba ya lishe kwa kipindi cha robo ya kwanza jumla ya wakazi 740 wa Halmashauri ya Mji Mafinga wameweza kupatiwa elimu ya

Lishe kupitia mikutano ya hadhara katika mitaa na kata.

Elimu iliyotolewa ni umuhimu wa Lishe bora, matumizi ya chumvi iliyoongezwa madini joto na uhifadhi wake, makundi matano ya vyakula na mlo kamili.


Akifungu kikao hicho cha Tathmini ya Mkataba wa Lishe Ndugu Robert Kilewo Afisa Tawala Wilaya ya Mufindi akimwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Mufindi

Mhe. Dkt. Linda Salekwa amesema muhimu elimu ya Lishe izidi kutolewa na matumizi na utunzaji 

Sahihi ya chumvi yenye madini joto ili kuhakikisha watoto wetu wanapata

Lishe bora na virutubisho muhimu

Kwa kina mama wajawazito, ili

Kuepukana na utapiamlo .


Kikao hicho kimehudhuriwa na Watendaji wa Kata zote 9 za Halmashauri ya Mji Mafinga Kaimu Mkurugenzi ambaye Ni Katibu wa Kikao Dr. Boviventura Chitopella pamoja na wakuu wa Divisheni.


Imeandaliwa na 

Sima Bimgileki

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini- Mafinga TC


Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI IMEENDESHA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KWA AWAMU YA PILI JIMBO LA MAFINGA MJINI

    May 02, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MBUNGE WA MAFINGA MJI AKABIDHI MITUNGI YA GESI

    May 01, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.