• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

HALMASHAURI YA MJI MAFINGA YATOA JUMLA YA TSH 340,153,629.78/ - YA MIKOPO KWA VIKUNDI 33 VYA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA KIPINDI CHA OKTOBA- DISEMBA 2022/2023.

Posted on: March 14th, 2023

Jumla ya Tsh, 340,153,629.78/-zimetolewa na Halmashauri ya Mji Mafinga kwaajili ya Mikopo kwa vikundi 33 vya wanawake, Vijana na Watu wenye ulemavu kwa kipindi cha Oktoba-Disemba 2022/2023.

Akikabidhi mfano wa hundi kwa wanavikundi hao Katibu Tawala Wilaya ya Mufindi Ndugu, Servi Ndumbalo kwa Niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mhe. Dkt. Linda Salekwa amewataka wakopaji kuichukua fedha hiyo na kuirejesha kwa wakati ili wananchi wengine waweze kukopa.

“ Mnapewa mikopo hii kumbukeni haina riba, msiende kujengea nyumba fanyeni biashara inayowaingizia kipato ili muweze kurejesha, Mheshimiwa Rais lengo lake ni kuinua wananchi kiuchumi hivyo msimuangushe, chukueni na mrejeshe kwa wakati “


Akizungumza Mkurugenzi wa Halmashauri wa Mji Mafinga Bi Happiness Laizer amewaomba wanavikundi kuwa waadilifu na waaminifu katika urejeshaji wa Mikopo hiyo .


“ wanavikundi walioomba Ni wengi zaidi ya vikundi 62 lakini vikundi vilivyopewa mikopo ni 33 tu, msifanye udanganyifu kwenye pesa hizi msije mkaishia kwenye mikono ya sheria”


Naye Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Mheshimiwa Regnant Kivinge amesema kuwa Mikopo sio zawadi hivyo lazima irejeshwe ili wengine wakope. Amesema Serikali ya awamu ya Sita ina lengo la kupunguza umaskini kwa wananchi Wake na kuinua uchumi wao kwa kuwapa mitaji.


Vikundi vilivyopewa mikopo ni 33, ambapo wanawake vikundi 19, Vijana vikundi 11 na watu wenye ulemavu vikundi 3 ambapo wanawake wamekopeshwa Tsh. 160,885,505.00 Vijana Tsh. 151,468,123.89.00 na Watu wenye Ulemavu Tsh, 27,800,000.


Wanavikundi hao wamemshukuru Mheshimiwa Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuanziasha utaratibu huu wa Mikopo isiyo na riba kwani wamedai walio wengi hawanasifa za kukopesheka kwenye taasisi za kifedha hivyo mikopo ya Halmashauri Ni tegemeo kubwa la wananchi kwenye vikundi.


Hafla hiyo imehudhuriwa na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri, Kamanda wa TAKUKURU Wilaya ya Mufindi, Wakuu wa Idara na wananchi mbalimbali kwenye Makao Makuu ya Halmashauri Luganga.


Imeandaliwa na


Kitengo Cha Mawasiliano Serikalini- Mafinga Tc

Christopher Mhina


Mwandishi wa Habari- Mafinga TC


@halimadendego

@salekwalinda

@ortamisemi

@maelezonews

Ofisi ya Rais - Tamisemi

Angela Kairuki


Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA KUNUFAIKA NA MIRADI YA TACTIC

    May 09, 2025
  • TUHAKIKISHE TUNAITUMIA SIKU HII ILIYOBAKI KUBORESHA TAARIFA ZETU NA KUJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KWA AWAMU YA PILI

    May 09, 2025
  • MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA AMEFANYA ZIARA YA UFATILIAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

    May 08, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI IMEENDESHA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KWA AWAMU YA PILI JIMBO LA MAFINGA MJINI

    May 02, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.