• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

Halmashauri ya mji wa mafinga yazindua jukwaa la uwezeshaji wanawake kiuchumi

Posted on: March 23rd, 2017

UZINDUZI WA JUKWAA LA WANAWAKE HALMASHAURI YA MAFINGA MJI


Akizungumza kwa niaba ya mkuu wa wilaya ya Mufindi katika uzinduzi wa jukwaa la uwezeshaji wanawake kiuchumi, lililofanyika mapema hivikaribuni katika Halmashauri ya Mji wa Mafinga,kaimu katibu tawala wa Halmashauri ya Mufindi Joseph  Mchina,alisema kuwa jukwaa hilo litaweza kuwasaidia wanawake wilayani humo ili waweze kuondokana hali duni kimaisha.Mchina alisema Katika kusaidia kufikia malengo ya maendeleo endelevu, inaasisitiza uwezeshaji  wa  wanawake  kiuchumi,hivyo wanawake wanatakiwa kujishughulisha  katika shughuli mbalimbali ili waweze kujiingizia kipato na hatimae kujikwamua kiuchumi.

Akitoa hotuba yake alisema Majukwaa haya yatasaidia kuongeza uelewa wa wanawake katika uchumi,biashara, upatikanaji wa  mitaji, sheria  za  nchi  katika  masuala ya  uchumi  na jinsi  ya  kujitegemea kiuchumi.Alisema kuwa Lengo  la  jukwaa la kuwawezesha wanawake kiuchumi  ni  kukutana na wanawake na  kujadiliana  kuchangamkia fursa mbalimbali , kuangalia  changamoto zinazowakabili na  jinsi  ya kushiriki kikamilifu katika biashara na shughuli zingine za kiuchumi ili kuwainua "' Naomba kupitia Jukwaa hili la Halmashauri ya Mji wa Mafinga kumpongeza sana Mheshimiwa makamu wa Rais kwa kuteuliwa kwake kuwa mmoja wa Wajumbe wa Timu hii muhimu ya Umoja wa Mataifa ya kuongeza ushiriki wa Wanawake katika shughuli za kiuchumi Duniani. Ili kujenga uelewa wa namna ya kuanzisha majukwaa katika ngazi ya Halmashauri nimeona ni vyema kuzindua jukwaa la uwezeshaji wanawake kiuchumi ngazi ya Mkoa ili kila Mkurugenzi akaanzishe chombo hiki katika Halmashauri yake kwa kufuata kanuni zilizowekwa’’’alisema Mchina.Aidha aliongeza kuwa Halmashauri ya Mji wa Mafinga kwa kupitia jukwaa la uwezeshaji wanawawke kiuchumi, itahakikisha wanawake wanaondokana na dhana ya kuwa tegemezi,kwa kuhakikisha wanajishughulisha na biashara mbalimbali ili kuondokana na umasikini.

Akitoa Elimu juu ya Ulipaji kodi, Afisa Elimu na Huduma kwa walipa kodi kutoka mamlaka ya mapato Tanzania [TRA] Noveatus Albet alisema kodi ni tozo ya lazima ambayo mtu anawajibika  kulipa serikalini kwa mujibu wa sharia ili kuiwezesha serikali kufanya shughuli mbalimbali za maendeleo ya kijamii.

Albet alisema mfanyabiashara pamoja na kusajiliwa na TRA ana wajibu wa kutunza kumbukumbu za biashara yake,pia iwapo mfanyabiashara ana mauzo yanayoanzia shilingi million 14 na kuendelea kwa mwaka atatakiwa kununua na kutumia  mashine za kielektroniki kwa ajili ya kutolea risiti [EFD] Monika Kikoti ni mmoja wa wanawawake walioshiriki maadhimisho hayo , nae alisema kuwa kupitia jukwaa hilo wanawake wataweza kupiga hatua kimaendeleo kwa kujishughulisha na kazi mbalimbali,hali itakayosaidia kuondokana na vitendo vya kunyanyasika na wanaume.

Jumla ya Wanawake 500 kutoka katika kata 9 za Halmashauri hiyo walishiriki uzinduzi huo huo,huku  wakiishukuru serikali kwa kutoa kipaumbele kuwawezesha.


MWISHO

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI IMEENDESHA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KWA AWAMU YA PILI JIMBO LA MAFINGA MJINI

    May 02, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MBUNGE WA MAFINGA MJI AKABIDHI MITUNGI YA GESI

    May 01, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.