• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

HULE YA SEKONDARI CHANGARAWE YATOA MOTISHA YA SHILINGI 8,040,000 KWA WALIMU AMBAO WANAFAULISHA VIZURI

Posted on: August 28th, 2025



Shule ya sekondari changarawe yatoa motisha ya shilingi 8,040,000 kwa walimu walio faulisha vizuri katika masomo mbalimbali .


Akitoa zawadi hizo kwa walimu Afisa Elimu Idara ya Sekondari Halmashauri ya Mji Mafinga Stephen Shemdoe amesema ameupongeza uongozi wa shule ya sekondari Changarawe kwa kutoa motisha ni jambo la msingi na lenye tija kwani imekuwa iwasaida mwalimu kufanya vizuri katika kazi zao ikiwemo kufundisha kwa weledi mkubwa na kuwa karibu na wanafunzi wao napia kuwatia moyo.


Pia amewataka walimu kuendeleza ushirikiano na uwongozi pamoja na wanafunzi ili kuhakikisha shule inaenda mbele katika taaluma na nidhamu hii itasaidia kuzalisha wanafunzi wenye weledi na maono huko mbele na kulisaidia taifa .


Aidha Afisa Elimu Stephen Shemdoe amewapongeza walimu wote pamoja na uwongozi wa shule ya sekondari changarawe kwa kuendelea kusimamia miradi ya elimu ambayo inaletwa kwani kufanya hivyo ni uzalendo mkubwa na hii itasaidia kukuza elimu katika eneo hili la Changarawe.


Kwa upande wake Mwalimu Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Changarawe Peter Mbata amemshukuru Afisa Elimu Sekondari kwa kuendelea kutatua kero mbalimbali ikiwemo kupeleka walimu kwa wakati napia kusikiliza kero za walimu na kuzitatua haraka pia ameongeza kwa kusema Shule ya Sekondari Changarawe itaendelea kutoa motisha kwa kiwango kikubwa zaidi kwa walimu ambao wanafanya vizuri na pia kwa wafanyakazi wengine ambao wapo hapa lengo ikiwa ni kusamini mchango wao katika shule


Michael Ngowi Afisa Habari.

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • MAFINGA TC YANG’ARA SHIMISEMITA 2025 TANGA, YANYAKUA VIKOMBE VITATU NA MEDALI

    August 29, 2025
  • HULE YA SEKONDARI CHANGARAWE YATOA MOTISHA YA SHILINGI 8,040,000 KWA WALIMU AMBAO WANAFAULISHA VIZURI

    August 28, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MJI MAFINGA TAREHE 15-18/9/2025

    September 01, 2025
  • MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA BI FEDELICA MYOVELLA AWATEMBELEA WANAMICHEZO TANGA.

    August 24, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.