• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

KAMATI YA ELIMU, AFYA NA UCHUMI HALMASHAURI YA MJI MAFINGA KWA ROBO YA KWANZA 2024/2025 YATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI ZAIDI YA BILIONI MOJA.

Posted on: November 1st, 2024

Kamati ya Elimu, Afya na Uchumi ya Halmashauri ya Mji Mafinga ikiongozwa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mheshimiwa Monica Luvanda imekagua utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo ya ujenzi wa vyumba 4 vya madarasa, Mabweni 2, matundu 10 ya vyoo kwa ajili ya kidato cha tano shule ya Secondari Ndolezi mradi unaoendelea kupitia fedha ya Serikali kuu wenye thamani ya milioni 380,000,000. Pamoja na ujenzi wa nyumba ya Walimu Two in one wenye thamani ya milioni 100,000,000 kupitia Mradi wa SEQUIP.

''Nawapongeza sana kwa muda ambao umetumika katika kutekeleza Miradi hii kwani kwa muda mfupi imefikia hatua inayoridhisha naomba Miradi ikamilike kwa muda uliopangwa" Maneno hayo yamesemwa na Mheshimiwa Diwani Monica Luvanda baada ya kutembelea miradi yote iyo.

Kamati pia wametembelea ujenzi wa vyumba 2 vya madarasa na matundu 6 ya vyoo shule ya Msingi Ifingo Mradi wenye thamani ya Milioni 63,000,000 BOOST II katika Kata ya Kinyanambo.

Katika Kata ya Upendo wamekagua shule Mpya ya Secondari Upendo shule inayojengwa kupitia Mradi wa SEQUIP wenye thamani ya Milioni 583,180,028 ambapo Miradi yote ipo katika hatua za utekelezaji ambapo majengo yote yanatarajiwa Kuanza kutumika mapema mwaka ujao.

Ziara imehudhuliwa na Wajumbe wa Kamati Waheshimiwa Madiwani pamoja na baadhi ya Wataalam wa Halmashauri ya Mafinga Mji ambapo wamefanya ziara katika kata tatu ambazo ni Boma, Kinyanambo na Upendo.




Imetolewa na kitengo cha Mawasiliano Serikalini.

Mafinga Tc

Anna Mdehwa.

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • MKUU WA WILAYA YA MUFINDI DKT LINDA SELEKWA AONGOZA KIKAO CHA LISHE

    August 15, 2025
  • TANZANIA HEADS OF SECONDARY SCHOOL ASSOCIATION

    August 15, 2025
  • ALMASHAURI YA MJI MAFINGA YATOA MAFUNZO KWA VIKUNDI 26 VYA WANUFAIKA WA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI

    August 13, 2025
  • WAKAZI WA MTAA WA ISALAVANU WAPEWA ELIMU NA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA KUHUSU UTAWALA BORA NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA

    August 12, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.