• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

KAMATI YA ELIMU,AFYA NA UCHUMI HALMASHAURI YA MJI MAFINGA YATEMBELEA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO.

Posted on: July 14th, 2022

KAMATI YA ELIMU, AFYA NA UCHUMI HALMASHAURI YA MJI MAFINGA YATEMBELEA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO- MAFINGA TC.

Kamati ya Elimu, Afya na Uchumi Halmashauri ya Mji Mafinga chini ya Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mheshimiwa Samwel Mwalongoi Diwani wa Kata ya Rungemba imefanya ziara ya kukagua utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo inayotekelezwa chini ya Kamati hiyo.

Miradi iliyotembelewa na Kamati  ni:-

Ujenzi wa Kituo cha Afya Upendo, ambapo linajengwa jengo la Wagonjwa wa Nje (OPD) hatua:- ujenzi unaendelea na fedha zilizopokelewa ni shilingi milioni 150 kutoka serikali kuu na jengo  linatarajiwa kukamilia tarehe 19/9/2022.

-Ujenzi wa Kituo cha Afya Ifingo katika kata ya Kinyanambo. Ujenzi wa Jengo la Upasuaji, Jengo la Kufulia na Njia za kuunganisha majengo. Ujenzi huu ni ujenzi wa awamu ya tatu na fedha zilizopokelewa ni shilingi milioni 250 kutoka Serikali Kuu. Ujenzi upo katika hatua za Umaliziaji.

-Ujenzi wa Madarasa Mawili Shule ya Sekondari Upendo. Ujenzi umekamilika na fedha iliyopokelewa ni shilingi milioni 40 kutoka Serikali Kuu.

-Ujenzi wa Choo Soko Jipya la Pipeline unaendelea na Ujenzi wa Mnara wa Tanki la Maji na Ukarabati wa Choo Uwanja wa Mashujaa Ujenzi umekamilika.

-Ujenzi wa Darasa moja Shule ya Sekondari Luganga. Ujenzi huu umekamilika na darasa linatumika ambapo jumla ya fedha zilizopokelewa kutoka Serikali Kuu ni shilingi milioni 20

Waheshimiwa Madiwani wa Kamati hiyo wameipongeza na Kuishukuru Serikali kwa kuendelea kuleta fedha za Maendeleo katika Halmashauri ya Mji Mafinga na Kupongeza Timu ya Menejimenti ikiongozwa na Mkurugenzi Bi Happiness Laizer  na watendaji wote wa Halmashauri kwa kazi nzuri ya Usimamizi wa Miradi ya Maendeleo.

“ Miradi ni mizuri sana, thamani ya fedha na miradi vinaendana kwa kweli tuwapongeze kwa kazi nzuri mno ya usimamizi wa Miradi, kikubwa ambacho tunasisitiza ni ukamilishaji miradi hii kwa wakati, tujitahidi miradi ikamilike kwa muda uliopangwa ili kupunguza changamoto kwa jamii ya wananchi wa Mji wa Mafinga na watanzania kwa ujumla hasa kwa wananchi wa maeneo husika.” Kauli ya Mheshimiwa Samwel Mwalongo Mwenyekiti wa Kamati ya Elimu, Afya na Uchumi.

IMEANDALIWA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO-MAFINGA TC

Sima Bingileki

Afisa Habari Mkuu.

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA VIFUNGWE MFUMO WA GoT-HOMIS

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA YAPATA HATI SAFI YA UKAGUZI KUTOKANA NA TAARIFA YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI (CAG) KWA HESABU ZINAZOISHIA TAREHE 30 JUNI 2024

    June 19, 2025
  • HALMASHAURI YA NKASI YAITEMBELEA MAFINGA MJI KUBADILISHANA UZOEFU

    June 18, 2025
  • MWANZA NA DODOMA ZATINGA FAINALI SOKA WAVULANA UMITASHUMTA 2025

    June 17, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.