• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

KAMATI YA FEDHA NA UTAWALA YA KAGUA MIRADI YA MAENDELEO ROBO YA KWANZA 2024/2025

Posted on: November 1st, 2024

Kamati ya Fedha na Utawala ya Halmashauri ya Mji Mafinga ikiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri Mheshimiwa Regnant Kivinge imefanya ziara ya kukagua Miradi ya Maendeleo kwa kipindi cha Robo ya kwanza 2024/2025 ambapo imekagua ujenzi wa vyumba vitatu vya madarasa na ujenzi wa matundu 6 ya vyoo katika Shule ya Msingi Kilimani Kata ya Isalavanu.

Akitoa taarifa ya Ujenzi wa vyumba hivyo vitatu vya madarasa na Matundu 6 ya vyoo vya wasichana, Mkuu wa Shule ya Kilimani Mwalimu kwaniaba ya Mkurugenzi wa Mji Mafinga Bi Fidelica Myovella amesema tarehe 18/6/2024 Fedha kiasi cha shilingi Milioni 88 kilipokelewa kwaajili ya ujenzi wa vyumba 3 vya madarasa milioni 75 na Milioni 13 kwaajili ya ujenzi wa Matundu 6 ya vyoo hivyo kufanya jumla ya fedha pokelewa kutoka Serikali Kuu kupitia Mradi wa Boost kuwa milioni 88.

Amesema hatua ya ujenzi iliyofikiwa ni ukamilishaji wa upakaji wa Rangi na jengo la choo lipo hatua ya kupiga lipu.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti waheshimiwa madiwani wa kamati ya Fedha na Utawala wamepongeza hatua iliyofikiwa ya ukamilishaji na kuomba wataalamu kuhakikisha fundi anasimamiwa kwa ukaribu ili akamilishe kazi kwa wakati.

Ziara hiyo imehudhuriwa na Katibu Tawala Wilaya ya Mufindi Ndugu Reuben Chongolo , Kaimu Mkurugenzi Mji Mafinga Ndugu Peter Ngusa, Wakuu wa Idara na Vitengo na Watendaji wa Kata Kitengo Cha Mawasiliano Serikalini - Mafinga TC
Sima Mark Bingileki
Mkuu wa Kitengo- Mafinga TC




Picha mbalimbali katika ukaguzi wa miradi kwa robo ya kwanza 2024 /2025

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA VIFUNGWE MFUMO WA GoT-HOMIS

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA YAPATA HATI SAFI YA UKAGUZI KUTOKANA NA TAARIFA YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI (CAG) KWA HESABU ZINAZOISHIA TAREHE 30 JUNI 2024

    June 19, 2025
  • HALMASHAURI YA NKASI YAITEMBELEA MAFINGA MJI KUBADILISHANA UZOEFU

    June 18, 2025
  • MWANZA NA DODOMA ZATINGA FAINALI SOKA WAVULANA UMITASHUMTA 2025

    June 17, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.