• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

KAMATI YA HUDUMA ZA JAMII YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: April 17th, 2025

Mwenyekiti wa Kamati Mhe, Monica Luvanda akiwa ameongozana na Waheshimiwa, Madiwani Meja Kalinga, Denis Kutemile ambao ni Wajumbe wa Kamati pamoja na Wataalamu kutoka Halmashauri ya Mji Mafinga wametembelea Miradi minne ya Maendeleo ili kukagua ambayo ni :-


Ujenzi nyumba ya Watumishi( Two in One) wa Afya Ifingo Mradi unaogharimu fedha za Kitanzania Milioni 90 Fedha zinazotokana na Mapato ya ndani na mpaka sasa imetumika 53,953,899.51 na upo katika hatua ya kusawazisha ukuta.


Shule ya Msingi Amani ( Bweni na Jiko) ambapo kwa bweni limekamilika na limegharimu kiasi cha 80,000,000/= chanzo cha mapato Serikali Kuu. Na Jiko ambalo mpaka kukamilika inatarajiwa kutumika 38,131,040/= Chanzo cha Mapato ni Halmashauri ya Mji Mafinga Mapato ya ndani.


Ujenzi wa njia za kutembelea katika Hospitali ya Mji Mafinga ambao umegharimu 84,824,360/= na Tayari umekamilika Mradi ambao fedha inatokana na zilizobaki baada ya kukamilisha ujenzi wa Miundombinu kupitia fedha kutoka Serikali Kuu.


Shule ya Sekondari ya Amali Changarawe ni Mradi ambao unatekelezwa kwa fedha kutoka Serikali Kuu ambapo mpaka kukamilika unatarajiwa kugharimu Bilioni 1 na Milioni Mia sita ambapo majengo 19 tayali yameshajengwa ikiwemo madarasa 8, mabweni 2, na Maktaba.


“Kwakweli niwapongeze sana kwa hatua ambayo Miradi imefikia kwa usimamizi Mzuri wa Wataalamu wa Halmashauri ya Mji Mafinga pamoja na Serikali kwa kutupatia Fedha na Wananchi kwa ujumla wanaozunguka maeneo ya Mradi kwa nguvu kazi wanayoitoa katika Miradi ya Maendeleo.Amesema Mwenyekiti wa Kamati Monica Luvanda.


Pia wajumbe walipongeza hasa kwenye kasi ya ujenzi, thamani, ya fedha na ubora wa Miradi.


Na,

Anna Mdehwa,

Afisa Habari.

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI IMEENDESHA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KWA AWAMU YA PILI JIMBO LA MAFINGA MJINI

    May 02, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MBUNGE WA MAFINGA MJI AKABIDHI MITUNGI YA GESI

    May 01, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.