• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) MKOA WA IRINGA YA FANYA ZIARA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA

Posted on: May 13th, 2025




Kamati ya Siasa ya Chama Cha  Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Iringa imefanya ziara ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo katika Halmashauri ya Mji Mafinga.


Kamati hiyo ikiongozwa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Iringa Ndugu Daudi Yassin pamoja na Mkuu wa Mkoa Mheshimiwa Piter Serukamba na wajumbe wengine wamekagua mradi wa Shule ya Amali ambao unatekelezwa na fedha kutoka Serikali kuu  jumla ya kiasi cha shilingi bilioni moja na milioni mia sita  (1.6B) ambapo ujenzi huo umefikia asilimia 95 ya utekelezaji ikijumuisha mindombinu mbalimbali.


Aidha Kamati ya Siasa ya Mkoa imepitia na kukagua ujenzi wa mradi wa Maji wa Miji 28 ambao unatekelezwa kwa kiasi cha fedha shilingi bilioni 48 ambapo ujenzi umefikia asilimia 20 hata hivyo Kamati ya Siasa  imemtaka mkandarasi kuhakikisha anaendana na kasi ili kukamilisha mradi huo kwa wakati ambao utapunguza nakumaliza shida ya maji katika Mji wa Mafinga.


Pia Kamati ya Siasa emekagua mradi wa uboreshaji wa hospitali ya Mji Mafinga ambapo ujenzi huo unajumuisha jengo la wazazi, jengo la kufulia, jengo la kuhudumia wagonjwa mahututi (ICU) na ujenzi wa walkway  mradi huu unatekelezwa kwa fedha kutoka serikali kuu jumla ya kiasi cha shilingi  milioni mia tisa (900,000,000) ambapo mradi huu upo katika hatua za umaliziaji ili uwanze kutoa huduma kwa wananchi.


Kwaupande mwingine Kamati ya Siasa ya Mkoa kupitia kwa Mwenyekiti wake Ndugu Daudi Yassin amepongeza jitihada zinazofanywa na Serikali katika kusimamia miradi hii kwa ukamilifu mkubwa kwani itenda kutatua kero kwa watu wetu na kuwapa huduma bora na pia amepongeza usimamiaji wa fedha zote ambazo zinaletwa na Serikali kwaajili ya utekelezaji wa Ilani .


Pia ameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutoa fedha kwaajili ya miradi mbalimbali katika Halmashauri ya Mji Mafinga ambayo inachochea ukuaji na utoaji wa huduma bora kwa wananchi .


Michael Ngowi

Afisa Habari





Picha mbalimbali za ziara ya Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapindunzi Mkoa wa Iringa katika Halmashauri ya Mji Mafinga ikikagua miradi mbalimbali ya maendeleo.

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) MKOA WA IRINGA YA FANYA ZIARA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA

    May 13, 2025
  • WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AMESEMA TANZANIA NI MIONGONI MWA NCHI ZINAZOFANYA KAZI KWA KARIBU SANA NA SEKTA BINAFSI ILI KUKUZA UCHUMI NA KULETA MAENDELEO KWA WANANCHI WAKE

    May 13, 2025
  • MKURUGENZI WA MJI MAFINGA BI FEDELICA MYOVELLA ASHIRIKI MKUTANO WA WANANCHI KIJIJI CHA ITIMBO KATA YA RUNGEMBA

    May 12, 2025
  • TASAF III YACHANGIA KIASI CHA SHILINGI MILIONI 22 SHAMBA LA MITI EKARI 11 KIJIJI CHA ITIMBO KUPITIA WANUFAIKA WA TASAF

    May 12, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.