• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) MKOA WA IRINGA YAFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA

Posted on: February 21st, 2023

Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Iringa ikiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Iringa Mheshimiwa Daud Yasin  imefanya ziara ya kukagua Miradi ya Maendeleo katika Halmashauri ya Mji Mafinga ikiwa ni kusimamia Utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi.

Miradi iliyotembelewa na Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Iringa ni Mradi wa Ujenzi wa Kituo cha Afya Ifingo, Ujenzi wa Jengo la Dharura( EMD) na Mradi wa Maji wa Igowole.

Akizungumza baada ya kutembelea na kukagua Miradi hiyo Mheshimiwa Mwenyekiti wa Kamati ya Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Iringa  Mheshimiwa  Daud Yasin kwaniaba ya wajumbe wengine wa Kamati hiyo amesema, Miradi yote ni bora na thamani ya Miradi na Fedha vinaendana na imekamilika kwa wakati hivyo itapunguza changamoto ya Maji na ubali wa kufuata huduma za Afya kwa wananchi wa Maeneo husika.


" Huu ndio Utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi lazima tuhakikishe Miradi inakamilika kwa wakati kwani Serikali ya Awamu ya Sita imekuwa ikileta fedha kwenye Halmashauri lengo likiwa ni kuhakikisha wananchi wote wanapata huduma za Afya bora na kwa wakati, niwakumbushe tu watumishi wa Umma lugha tunazotoa kwa wananchi tunapowapa huduma wananchi ziendane na Ubora wa majengo haya” Daud Yasin Mwenyekiti wa Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Iringa.

Akisoma taarifa kwa Niaba ya Mkurugenzi wa Mji Mafinga, Dkt. Bonaventura Chitopela amesema kuwa Kituo cha Afya Ifingo kimejengwa kwa fedha kutoka Serikali Kuu kiasi cha Shilingi  Milioni 650, Fedha kutoka Halmashauri shilingi Milioni 200 na Mchango wa Wananchi Shilingi milioni 12.


Amesema kituo hicho cha Afya kitaanza kutoa huduma mapema mwezi wa tatu mwaka huu na majengo ambayo yamekamilika ni jengo la Kupokea wagonjwa wa Nje, wodi ya wazazi, chumba cha Upasuaji, chumba cha kufulia nguo,njia za kupita wagonjwa na kichomea taka.


Ameongeza kuwa mpaka sasa kituo kimepokea vifaa kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI na Mbunge wa Jimbo la Mafinga Mheshimiwa Cosato Chumi.

Vifaa vilivyopokelewa kutoka TAMISEMI ni


Meza ya Upasuaji, Taa ya Upasuaji na jokofu . Aidha vifaa kutoka kwa Mheshimiwa Mbunge ni vitanda 37 na magodoro 18.

Ziara pia imehudhuriwa na Viongozi mbalimbali wa Chama na Serikali pamoja na Wakuu wa Idara wa Halmashauri ya Mji Mafinga.

IMEANDALIWA NA :

Sima Bingileki

Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini.


Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI IMEENDESHA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KWA AWAMU YA PILI JIMBO LA MAFINGA MJINI

    May 02, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MBUNGE WA MAFINGA MJI AKABIDHI MITUNGI YA GESI

    May 01, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.