• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

KAMATI YA ULINZI NA USALAMA MKOA WA IRINGA IKIONGOZWA NA MKUU WA MKOA WA IRINGA MHE. HALIMA DENDEGO IMEKAGUA MIRADI PENDEKEZWA ITAKAYO PITIWA NA MWENGE WA UHURU TAREHE 5/5/2023 -MAFINGA TC

Posted on: April 11th, 2023

KAMATI YA ULINZI NA USALAMA MKOA WA IRINGA IKIONGOZWA NA MKUU WA MKOA WA IRINGA MHE. HALIMA DENDEGO IMEFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI PENDEKEZWA ITAKAYO PITIWA NA MWENGE WA UHURU  TAREHE 5/5/2023 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA.


Akikagua Miradi hiyo Mkuu wa Mkoa wa Iringa akiwa ameambatana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa pamoja Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Mufindi ikiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mhe. Dkt. Linda Linda Salejwa amesema Miradi iliyopendekezwa yote inagusa maslahi ya wananchi na Mingi imekamilika Aidha kwa Miradi yenye marekebisho ameagiza yafanyike mapema ili Mwenge wa Uhuru utakague, kuweka jiwe la Msingi na Kuzindua Miradi hiyo.

Miradi pendekezwa iliyotembelewa ni:-

- Kuweka Jiwe la Msingi Kiwanda cha Lush Chanzo kinachohusika na uzalishaji wa MDF BOARD

- Uzinduzi wa Mradi wa Maji Makwawa.

- Uzinduzi wa Kitalu cha miche ya Kisasa ya Miti - PandaMiti Kibiashara.

- Kuzindua Ujenzi wa Maabara katika Shule ya Sekondari Upendo

- Kuweka Jiwe la Msingi ujenzi wa barabara Mtaa wa Mkombwe.

- Kukagua vikundi vya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu Kata ya Boma.

- Uzinduzi wa Kituo cha Mafuta NFS Kata ya Changarawe

- Uzinduzi ww Jengo la huduma za dharura(EMD)

Katika Halmashauri ya Mji Mafinga Mwenge wa Uhuru unatarajiwa kupokelewa tarehe 5/5/2023 na utakesha katika Uwanja wa Mashujaa ambapo tarehe 6/5/2023 mwenge wa Uhuru utakabidhiwa Mkoani Morogoro.


IMEANDALIWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI- MAFINGA TC


Sima Bingileki

Mkuu wa Kitengo Cha Mawasiliano Serikalini.

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA VIFUNGWE MFUMO WA GoT-HOMIS

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA YAPATA HATI SAFI YA UKAGUZI KUTOKANA NA TAARIFA YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI (CAG) KWA HESABU ZINAZOISHIA TAREHE 30 JUNI 2024

    June 19, 2025
  • HALMASHAURI YA NKASI YAITEMBELEA MAFINGA MJI KUBADILISHANA UZOEFU

    June 18, 2025
  • MWANZA NA DODOMA ZATINGA FAINALI SOKA WAVULANA UMITASHUMTA 2025

    June 17, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.