• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

KATIBU TAWALA MKOA WA IRINGA MHANDISI LEONARD MASANJA AMEFANYA ZIARA YA KUKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA.

Posted on: November 7th, 2023

Katibu Tawala Mkoa wa Iringa Mhandisi Leonard Masanja  amefanya Ziara ya kukagua na kutembelea utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo katika Halmashauri ya Mji Mafinga.



Akizungumza  Katibu Tawala Mkoa wa Iringa Ndugu Leonard Masanja amempongeza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Mafinga pamoja na timu yake katika shughuli za  kusimamia utelekelezaji wa Miradi Maendeleo Halmashauri ya Mji Mafinga amesema ameridhishwa na kazi inayofanywa ya kuendelea kuboresha Huduma kwa Wananchi.


Miradi ya Maendeleo iliyotembelewa ni : -


- Ujenzi wa Shule ya Sekondari Ndolezi ( SEQUIP).


- Ujenzi wa Shule Mpya ya Msingi Muungano.


- Ujenzi wa vyumba 5 vya madarasa Shule ya Msingi Nyamalala.


- Ujenzi wa Shule ya Msingi Chifu Mkwawa mchepuo wa kiingereza.


- Ujenzi wa Maabara  Kituo cha Afya Upendo.


- Ujenzi wa nyumba ya kuhifadhia maiti ( Mortuary)


- Ujenzi wa nyumba ya Walimu  Sao Hill ( 2 in 1)


- Ujenzi wa vyumba 6 vya madarasa Shule ya msingi Gangilonga.


- Ujenzi wa vyumba vya madarasa  Shule Kongwe Wambi .


Aidha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Mafinga Ndugu Ayoub Kambi ameshukuru Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na SERIKALI kwa kuendelea kuleta fedha katika Halmashauri Mji Mafinga katika sekta Mbalimbali ili kuendelea kuboresha Huduma kwa Wananchi.


IMETOLEWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI



Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • MKUU WA WILAYA YA MUFINDI DKT LINDA SELEKWA AONGOZA KIKAO CHA LISHE

    August 15, 2025
  • TANZANIA HEADS OF SECONDARY SCHOOL ASSOCIATION

    August 15, 2025
  • ALMASHAURI YA MJI MAFINGA YATOA MAFUNZO KWA VIKUNDI 26 VYA WANUFAIKA WA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI

    August 13, 2025
  • WAKAZI WA MTAA WA ISALAVANU WAPEWA ELIMU NA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA KUHUSU UTAWALA BORA NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA

    August 12, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.