• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

KATIBU TAWALA WILAYA YA MUFINDI NDUGU FRANK SICHALWE AMEZUNGUMZA NA WAKUU WA IDARA NA VITENGO WA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA.

Posted on: July 28th, 2023

“ Sifa ya Wilaya ya Mufindi inatokana na nyie watumishi kufanya kazi kwa bidii katika Sekta zote, kwa kuweka malengo ya Serikali mbele ya kutoa huduma Bora kwa wananchi na kusimamia Miradi ya Maendeleo “

Kauli hiyo imetolewa na Katibu Tawala Wilaya ya Mufindi Ndugu Frank Sichalwe alipokuwa Akizungumza na Wakuu wa Idara na Vitengo wa Halmashauri ya Mji Mafinga ikiwa ni ziara ya kikazi katika kuwajenga watumishi, kuwakumbusha wajibu wao na kuwapa hari chanya ya kazi Kati kutoa huduma kwa wananchi.

Amesema kila mmoja anatakiwa kutimiza wajibu Wake katika kazi ikiwa ni pamoja na kuheshimu viongozi waliopo, kuheshimu walio chini yenu na kuhakikisha Mapato yanakusanywa na kufikia malengo.


Ndugu Sichalwe Amewahakilishia watumishi wa Wilaya ya Mufindi Ushirikiano wa hali ya juu kutoka Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mheshimiwa Dkt. Linda Salekwa na wakati wowote waitumie Ofisi katika kutaka Ushauri katika Utendaji wa Kazi.


“Hakuna mtu wa Lazima, ila kuna mtu muhimu”

Tujitahidi tuwe muhimu kwenye maeneo yetu ya kazi. Mkumbuke hakuna mtu ambaye Ni lazima awepo, kwani Leo unaweza ukawa haupo na kazi zako akaja mwingine akazifanya, hivyo tuishi kwa kupendana katika maeneo yetu ya kazi na Kwa unyenyekevu mkubwa ili tutimize malengo ya Serikali.”


Naye Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Mafinga Ndugu Ayoub Kambi kwa niaba ya Wakuu wa Divisheni na Vitengo amesema atahakikisha watumishi wanafanya kazi kwa bidii, kujituma bila kumkwamisha kiongozi yeyote na kuhudumia wananchi ili malengo ya Serikali yaweze kufikiwa ya kutoa huduma Bora kwa haraka,kusimamia Fedha za Miradi ya Maendeleo na kukusanya mapato ya Serikali.


IMETOLEWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI-MAFINGA TC


Sima Bingileki


Kaimu Mkuu wa Kitengo Cha Mawasiliano Serikalini- Mafinga Tc

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA VIFUNGWE MFUMO WA GoT-HOMIS

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA YAPATA HATI SAFI YA UKAGUZI KUTOKANA NA TAARIFA YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI (CAG) KWA HESABU ZINAZOISHIA TAREHE 30 JUNI 2024

    June 19, 2025
  • HALMASHAURI YA NKASI YAITEMBELEA MAFINGA MJI KUBADILISHANA UZOEFU

    June 18, 2025
  • MWANZA NA DODOMA ZATINGA FAINALI SOKA WAVULANA UMITASHUMTA 2025

    June 17, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.