• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

KURUGENZI MJI MAFINGA BI. FIDELICA MYOVELLA ATETA NA WAHUDUMU WA USAFI AAHIDI KUZIDI KUIPAISHA MAFINGA KWENYE USAFI WA MAZINGIRA.

Posted on: February 7th, 2025

“Sisi watumishi wa Afya tumebeba dhamana ya Afya za wananchi wa Mafinga,

Tuzuie mapema milipuko ya magonjwa na kukinga kuliko kutibu ni gharamq”


Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Mji Mafinga Bi Fidelica Myovella alipokuwa akizungumza na Wahudumu wa Usafi wa Halmashauri ya Mji Mafinga lengo likiwa ni kupokea Changamoto zao kuzitatua kwa lengo la kuboresha Haki zao na kuboresha mazingira ya Usafi katika Halmashauri ya Mji Mafinga.


Amesema Mji umekuwa ukipongezwa katika Sekta Mbalimbali ikiwemo Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo, Elimu, Afya na Usafi wa Mazingira hivyo lazima tujue nani anasababisha tupigiwe makofi na nani anafanya tusipigiwe makogi kwemye Usafo wa Mazingira.


“ Nimepokeq Changamoto zenu zote na ninaahidi kuzifanyia kazi ntawaita tena na mtaona mabadiliko kuanzia sasa mimi na Timu ya Menejimenti yanayotakiwa kufanyiwa kazi haraka tunafanya na yanayohitaji maamuzi ya Waheshimiwa Madiwani basi tutayaeasilisha ili watolee majibu.”


Naye Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Mafinga Mheshimiwa Regnant Kivinge amesema kuweka mikakati kama hii kunasaidia kuendelea kuweka mji safi na kupunguza magonjwa yanayoweza kusababishwa na uchafu ambapo lengo ni kuzuia milipuko ya magojwa , hivyo amesisitiza kushirikiana zaidi kwenye kazi na kuendelea kuwa wazalendo.


Kikao hicho kilichofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri kimehudhuriwa na Wahudumu wa Usafi, Watendaji wa Kata, Watendaji wa Mitaa, Wenyeviti wa Mitaa, Madereva wa magari ya Taka na baadhi ya wakuu wa Idara


Na Sima Mark Bingileki

Afisa Habari Mkuu-Mafinga TC


wafanyakazi wa kada ya usafi na mazingira wakimsikiliza Mkurugenzi Bi Fedelica Myovella.

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA VIFUNGWE MFUMO WA GoT-HOMIS

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA YAPATA HATI SAFI YA UKAGUZI KUTOKANA NA TAARIFA YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI (CAG) KWA HESABU ZINAZOISHIA TAREHE 30 JUNI 2024

    June 19, 2025
  • HALMASHAURI YA NKASI YAITEMBELEA MAFINGA MJI KUBADILISHANA UZOEFU

    June 18, 2025
  • MWANZA NA DODOMA ZATINGA FAINALI SOKA WAVULANA UMITASHUMTA 2025

    June 17, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.