• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

LEO TAREHE 6 JANUARI 2025 MKUU WA WILAYA YA MUFINDI MHESHIMIWA DKT. LINDA SALEKWA AKIWA NA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WILAYA YA MUFINDI AMEITISHA KIKAO LENGO LIKIWA NI KUJADILI NA KUJUA MIPANGO NA MIKAKATI YA UKUSANYAJI WA MAPATO KWA NUSU YA PILI

Posted on: January 6th, 2025

Leo tarehe 6 Januari 2025 Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mheshimiwa Dkt. Linda Salekwa akiwa na Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya ya Mufindi ameitisha kikao kilichowahusisha Wakurugenzi, Wenyeviti wa Halmashauri pamoja na Wajumbe wa Timu ya Menejimenti lengo likiwa ni Kujadili na kujua Mipango na Mikakati ya Ukusanyaji wa Mapato kwa Nusu ya pili ya Mwaka wa fedha 2024/2025) na kubuni vyanzo vipya vya mapato kwa mwaka ujao wa fedha 2025/2026


“Tunatamani kujua kila Halmashauri imejipangaje katika Kubaini vyanzo vipya vya Mapato, hali ya ukusanyaji wa mapato na mikakati kwa bajeti ijayo ya mapato, tuhakikishe tunaupanga Mji, kutafuta wawekezaji kwenye maeneo ya michezo na kuja na mkakati wa shopping mall ili makampuni na taasisi wawekeze hapo katika kukuza uchumi wa Halmashauri zetu na kuongeza Mapato”


Akizungumza Katibu Tawala wa Wilaya ya Mufingi ndugu Reuben Chongolo Amesema kuwa kikao kitaleta Tija kwa Halmashauri na Wilaya kwani kitafungua njia kwa mawazo ya kubuni vyanzo vipya vya mapato kuongeza mikakati ya kuongeza mapato.


Kikao hicho cha kujadili kuongeza mapato kwa Halmashauri kimehudhuriwa na Wakurugenzi wa Halmashauri akiwepo Bi. Fidelica Myovella, Kamati ya Ulinzi na Usalama na Wajumbe wa Timu ya Menejimenti wa Halmashauri zote mbili za Wilaya ya Mufindi


Imeandaliwa na

Sima Mark Bingileki

Mkuu wa Kitengo Cha Mawasiliano Serikalini- Mafinga TC







Wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na usalama wa Wilaya ya Mufindi na wajumbe wa Halmashauri ya Mji Mafinga wakifatilia kikao cha Mkuu wa Wilaya Mheshimiwa Dkt Linda Selekwa juu ya ukasanyaji wa mapato.

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA VIFUNGWE MFUMO WA GoT-HOMIS

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA YAPATA HATI SAFI YA UKAGUZI KUTOKANA NA TAARIFA YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI (CAG) KWA HESABU ZINAZOISHIA TAREHE 30 JUNI 2024

    June 19, 2025
  • HALMASHAURI YA NKASI YAITEMBELEA MAFINGA MJI KUBADILISHANA UZOEFU

    June 18, 2025
  • MWANZA NA DODOMA ZATINGA FAINALI SOKA WAVULANA UMITASHUMTA 2025

    June 17, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.