• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

MADAKTARI BINGWA KUTOA HUDUMA HOSPITALI YA MJI MAFINGA

Posted on: June 3rd, 2025

Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kaona haitoshi kujenga Miundombinu ya Hospitali pekee sasa katuletea Madaktari bingwa 7 ambao kuwepo kwao kutapunguza gharama za wananchi kufuata huduma za kibingwa mbali na kuimarisha Afya za wananchi kwa matibabu ya kibingwa yatakayotolewa katika Hospitali ya Mji Mafinga kuanzia tarehe 2-6/6/2025”


Kauli hiyo imetolewa na Mkuu Wa Wilaya ya Mufindi Mheshimiwa Dkt. Linda Salekwa alipokuwa anawapokea Madaktari bingwa 7 katika Hospitali ya Mji Maginga.


Amewataka wananchi wa Wilaya ya Mufindi na Halmashauri ya Mji Mafinga kuhakikisha wanazitumia siku hizi muhimu ili waweze kupata huduma za madaktari bingwa ambao wamekuja kwa Mpango Maalumu wa Rais ya kuhakikisha wananchi wote mpaka pembezoni wanapata huduma za kibingwa kwa gharama nafuu na kuimarisha Afya za watanzania bila kuwafuata mabingwa mbali.


Akiwatambulisha Madaktari hao bingwa maarufu kama Madaktari wa Mama Samia Daktari wa Mji Mafinga Bonaventulla Chitopela amesema Timu ina jumla ya madaktari 7 akiwemo Bingwa wa magonjwa ya Wanawake na Ukunga, Meno, Mfumo wa Mkojo, magonjwa ya ndani, bingwa wa magonjwa ya watoto na bingwa wa magonjwa ya dharula ambapo watatoa huduma za kibingwa kuanzia saa 2.00 Asubuhi mpaka saa 10.30 jioni katika Hospitali ya Mji Mafinga.


Naye Kiongozi wa Timu hiyo ya Madaktari Bingwa Dkt Huruma Mwasipu ambaye ni

Daktari bingwa wa magonjwa ya dharula amesema wapo tayari kutoa huduma kama ambavyo imekusudiwa hivyo wananchi wenye kuhitaji huduma hiyo wafike kwa wingi katika Hospitali ya Mji Mafinga.


Nao wananchi Irene Kadinde wa Mji mwema Mafinga na Tausi Mbalamwezi wamesema hakika mama Samia anajali wananchi wake, huduma hizi eangezipata kwa kuzifuata mbali ila mabingwa wapo mafinga hakika mama kweli ni msikivu na anajali Afya za wananchi wake”


Mapokezi ya madaktari bingwa maarufu kama Madaktari wa Mama Samia Suhulu Hassan yamehudhuriwa pia na Mkurugenzi Mji Mafinga Bi, Fidelica Myovella, Madaktari wa Mji Mafinga pamoja na wananchi waliofika kupata huduma za madaktari bingwa.


Sima Bingileki

Afisa Habari Mkuu- Halmashauri ya Mji Mafinga

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA VIFUNGWE MFUMO WA GoT-HOMIS

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA YAPATA HATI SAFI YA UKAGUZI KUTOKANA NA TAARIFA YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI (CAG) KWA HESABU ZINAZOISHIA TAREHE 30 JUNI 2024

    June 19, 2025
  • HALMASHAURI YA NKASI YAITEMBELEA MAFINGA MJI KUBADILISHANA UZOEFU

    June 18, 2025
  • MWANZA NA DODOMA ZATINGA FAINALI SOKA WAVULANA UMITASHUMTA 2025

    June 17, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.