• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

MAFINGA TC MSHINDI WA PILI USAFI WA MAZINGIRA 2022 KUNDI LA HALMASHAURI ZA MIJI KITAIFA

Posted on: November 9th, 2022

MAFINGA TC MSHINDI WA PILI USAFI WA MAZINGIRA 2022 KUNDI LA HALMASHAURI ZA MIJI KITAIFA.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dr. Seif Shekilaghe kwa Niaba ya Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ameitangaza Halmashauri ya Mji Mafinga kuwa Mshindi wa Pili katika Usafi wa Mazingira kundi la Halmashauri za Miji Kitaifa kwa mwaka 2022 na kupokea zawadi ya Cheti na Fedha Shilingi Milioni Kumi.

Dr. Seif amesema kuwa Usafi wa Mazingira uwe ni Agenda ya kudumu kwa ngazi ya familia na ngazi ya jamii kwani kila mmoja akishajua kuwa Usafi ni lazima itakuwa ni tabia ya jamii nzima. Hii itapelekea jamii kufanya Usafi kama tabia bila kusubiri Mashindano.

“Natamani kujua hivi haya Mashindano yasipokuwepo je? Itakuwa ndo mwisho wa jamii kuhamasishwa kuwa na vyoo bora? Sisi kama viongozi tujue tuna wajibu kufanya usafi kama agenda kuanzia ngazi ya jamii.”


Akizungumza baada ya kupokea ushindi huo  Mwenyekiti wa Mji Mafinga Mheshimiwa Regnant Kivinge amesema pongezi za dhati ziende kwa Mkurugenzi wa Mji Bi, Happiness Laizer kwa usimamizi wake bila kuchoka usiku na mchana kuhakikisha Mji wa Mafinga unakuwa safi.

Amempongeza pia Afisa Afya wa Mji Mafinga Gaudience Haule, Idara ya Afya, Usafi wa Mazingira na watumishi wote kwa kuhakikisha Mji unakuwa safi na kupanga mikakati ya kuboresha Usafi kwa ngazi ya Mtaa, Kata hadi Wilaya.

Halmashauri ya Mji Mafinga imeshinda kundi la Halmashauri za Miji ambapo Mshindi wa Kwanza ni Babati, Mshindi wa Pili ni Mji Mafinga na Mshindi wa Tatu ni Mji Njombe.

Kwa mwaka 2022 Wizara ya Afya ilitenga kiasi cha shilingi milioni 200 kwaajili ya zawadi kwa washindi ambapo mashindano yamehusisha makundi 11.

Wiki ya Usafi wa Mazingira ilianza rasmi huko Singida lengo likiwa ni kuchochea jamii kushiriki katika Usafi  na kuboresha Mazingira kuanzia ngazi ya jamii.


IMEANDALIWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI- MAFINGATC

Sima Bingileki

Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano-Mafinga Tc

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI IMEENDESHA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KWA AWAMU YA PILI JIMBO LA MAFINGA MJINI

    May 02, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MBUNGE WA MAFINGA MJI AKABIDHI MITUNGI YA GESI

    May 01, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.