• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

MAPOKEZI YA FEDHA KUTOKA SERIKALI KUU.

Posted on: July 11th, 2023

Halmashauri ya Mji Mafinga imepokea kiasi cha shilingi  583,180,028.00 kutoka Serikali Kuu kwaajili ya Ujenzi wa Shule Mpya ya Sekondari Katika Kata ya Boma chini ya Mradi wa (SEQUIP)na Fedha kiasi cha shilingi Milioni 100 kwaajili ya Ujenzi wa nyumba za watumishi (2 in 1)katika shule Mpya Kata ya Saohill.


Miradi hii  inatekelezwa nchi Mzima ambapo Ofisi ya Rais- TAMISEMI kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia inaendelea na utekelezaji wa Mradi wa Kuboresha Elimu ya Sekondari (SEQUIP), Pamoja na shughuli nyingine, mradi unahusika na ujenzi wa shule mpya za Sekondari za Kata.


Akizungumza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Mafinga Ndugu Ayoub Kambi amesema Shule mpya ya Sekondari itajengwa Kata ya Boma na majengo yatakayo jengwa ni pamoja na :-


-Jengo lenye vyumba vya madarasa 2


-Jengo lenye vyumba vya madarasa 2 na Ofisi 1


-Jengo la Utawala


-Jengo la Maabara ya Kemia na Baiolojia


-Jengo la maabara ya Fizikia


-Maktaba


-Chumba cha TEHAMA


-Jengo la vyoo vya wavulana matunda 4 yakiwa na huduma kwa wenye mahitaji maalum.


-Jengo la vyoo vya wanafunzi wasichana matundu 4 yakiwa na huduma kwa wenye mahitaji maalum na chumba maalum


-Kichomea taka


Na Tanki la maji la ardhini.


Ameongeza kuwa katika fedha zilizopokelewa milioni 100 imeelekezwa kujenga nyumba ya walimu 2 in 1 katika Kata ya Saohill .


Aidha ndugu Kambi amemshukuru Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Serikali kwa kuendelea kuleta Fedha katika Halmashauri ya Mji Mafinga katika Sekta Mbalimbali ili kuendelea kuboresha Huduma kwa wananchi .


IMEANDALIWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI- MAFINGA TC


Sima Bingileki


Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini- Mafinga TC

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA VIFUNGWE MFUMO WA GoT-HOMIS

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA YAPATA HATI SAFI YA UKAGUZI KUTOKANA NA TAARIFA YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI (CAG) KWA HESABU ZINAZOISHIA TAREHE 30 JUNI 2024

    June 19, 2025
  • HALMASHAURI YA NKASI YAITEMBELEA MAFINGA MJI KUBADILISHANA UZOEFU

    June 18, 2025
  • MWANZA NA DODOMA ZATINGA FAINALI SOKA WAVULANA UMITASHUMTA 2025

    June 17, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.