• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

MASHINDANO YA UMISSETA NA UMITASHUMTA KUKUZA FURSA ZA UCHUMI NA UTALII IRINGA

Posted on: June 9th, 2025

“Mashindano haya ya UMITASHUMTA na UMISSETA kitaifa katika Mkoa wa Iringa yanafanyika kwa mara ya kwanza Iringa ikiwa ni historia katika Mkoa wa Iringa ambapo itawapa fursa washiriki na wageni kutoka Mikoa yote 26 kutembelea vivutio vya Utalii pamoja, kukuza fursa za kiuchumi kwa wananchi wa Iringa na Mikoa ya Jirani.


Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mheshimiwa Peter Serukamna alipokuwa Akitoa salamu za Mkoq kwenye Ufunguzi wa Mashindano ya UMITASHUMTA na UMISETA Kitaifa Katika Mkoa wa Iringa ambayo yanafunguliwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa.


Amesema Mashindano haya yatafanyika katika viwanja vya Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Iringa,Shule ya Sekondari ya Lugalo na Viwanja vya Chuo Cha Waalimu Kreluu na kuhudhuriwa na zaidi ya wanafunzi 7,000 kutoka Mikoa 26 Tanzania Bara.


Aidha ameitaja michezo itakayo shindaniwa kuwa ni Soka mpira wa kikapu, mpira wa kengele, wavu, pete naMichezo ya fani za ndani ikiwamo ngoma kwaya.

Ufunguzi wa Mashindano ya UMITASHUMTA na UMISSETA Kitaifa katika Mkoa wa Iringa yamehudhuriwa na Waziri wa Habari, Sanaa Utamaduni na Michezo Mheshimiwa Palamagamba Kabudi, Ndugu Salim Abri Mjumbe wa Kamati Kuu Wabunge, Wakurugenzi wa Wizara, Maafisa wa Wizara, Wanamichezo , Makatibu Tawala na Wakuu wa Wilaya na Mkuu wa Wilaya yq Mufindi Mheshimiwa Dkt. Linda Salekwa.


Michezo ya UMITASHUMTA NA UMISSETA 2025 inaongozwa na Kauli mbiu “ Viongozi bora ni Msingi wa Maendeleo ya Taaluma, Sanaa na Michezo, Shiriki Uchaguzi Mkuu 2025 kwa Amani na Utulivu”


Na Sima Bingileki

Afisa Habari Mkuu- Mafinga

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA VIFUNGWE MFUMO WA GoT-HOMIS

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA YAPATA HATI SAFI YA UKAGUZI KUTOKANA NA TAARIFA YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI (CAG) KWA HESABU ZINAZOISHIA TAREHE 30 JUNI 2024

    June 19, 2025
  • HALMASHAURI YA NKASI YAITEMBELEA MAFINGA MJI KUBADILISHANA UZOEFU

    June 18, 2025
  • MWANZA NA DODOMA ZATINGA FAINALI SOKA WAVULANA UMITASHUMTA 2025

    June 17, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.