• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

Mbio za Mwenge wa Uhuru zafana katika Halmashauri ya Mji Mafinga.

Posted on: May 29th, 2018


Mwenge wa Uhuru ukiwa katika Halmshauri ya Mji wa Mafinga umepitia jumla ya miradi nane ikiwa ni utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo katika Halmashauri ya Mji Mafinga, ikishirikiana na wananchi pamoja na wadau mbalimbali wa maendeleo.

Mradi ulifunguliwa ni mmoja na kuzindua miradi mitano na kukagua miradi miwili na kuweka jiwe la msingi mradi mmoja.

Thamani ya miradi yote ni  tshs. bilioni, 1.7ambapo mchanganuo wa gharama za miradi yote nane  Serikali Kuu imechangia tsh milioni 700.4, Halmashauri ya Mji Mafinga tshs. milioni 47.2 wahisani tsh milioni 38 na wananchi wamechangia nguvu kazi na fedha taslimu zenye thamani ya tsh milioni 954.5, miradi hii yote ipo katika sekta ya Elimu Afya, Maji,Kilimo, Mazingira na Ujenzi.

Katika miradi hiyo Mwenge umefungua mradi wa ujenzi wa daharia/hosteli ya wasichana shule ya sekondari mnyigumba, umezindua mradi wa kusaidia kuhifadhi na kutunza mazingira(WF Renuable Resource) uliopo katika kijiji cha rungemba, umezindua ujenzi wa tanki la maji mtaa wa tanganyika, umezindua klabu ya wapinga rushwa shule ya sekondari JJ Mungai, umezindua Mnara wa kumbukumbu ya kuuenzi Mwenge wa Uhuru mwaka 2018, umezindua zahanati ya Nipende katika mtaa wa Amani.

Aidha umeweka jiwe la msingi katika ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa Shule ya sekondari ihongole, pia umekagua mradi wa kilimo cha zao la parachichi mtaa wa ndolezi na mwisho kukagua mradi wa ujenzi wa barabara ya Changarawe Matanana-Kisada yenye urefu wa kilometa 15 katika mradi huu kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa ndugu Charles Francis Kabeho ametoa maelekezo ya kurudia kupima kwa ufanisi kama mkandarasi ametekeleza viwango vilivyowekwa katika mkataba ikiwa ni kwa lengo la kusimamia ubora wa barabara.

Akitoa ujumbe wa Mwenge kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa ndugu Charles Francis Kabeho aliwahamsisha wananchi kuwekeza katika elimu chini ya ujumbe wa mbio za Mwenge wa Uhuru 2018 isemayo “ELimu ni Ufunguo wa Maisha Wekeza Sasa kwa Maendeleo ya Taifa letu”

Kabeho aliendelea kuhamasisha kuhusu mapambano dhidi ya rushwa, mapambano dhidi ya maambukizi mapya ya ukimwi na vvu, mapambano dhidi ya madawa ya kulevya na mapambano dhidi ya malaria.

Aidha alisistiza kwa viongozi wa serikali/uuma kufuatilia kwa makini miradi inayojengwa kwa ajili ya maendeleo ya wananchi ijengwe kwa ubora unaotakiwa ili thamani ya pesa inayotumika ionekane “watumishi wote mnatakiwa kutimiza wajibu wenu katika kulitumikia Taifa letu”alisema Kabeho.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mhe Jamhuri William kupitia risala ya Utii wa Mwenge wa Uhuru 2018 Kwa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kuhusu utekekelezwaji wa maagizo ya Serikali katika sekta mbalimbali ikiwemo uanzishwaji wa viwanda, usimamizi wa mbolea ya ruzuku, kuokoa mifumo ya kiikoljia ya bonde la mto ruaha mkuu na walimu kutojihusisha na michango ya wazazi mashuleni .

Mwenge wa Uhuru uliwashwa rasmi na Waziri Mkuu Mh. Kasim Majaliwa tarehe 02 Aprili 2018 katika Mkoa wa Geita na unatarajiwa kumaliza mbio zake katika siku ya kumbukumbu ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na wiki ya vijana Kitaifa tarehe 14 Oktoba 2018 mkoani Tanga.

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA VIFUNGWE MFUMO WA GoT-HOMIS

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA YAPATA HATI SAFI YA UKAGUZI KUTOKANA NA TAARIFA YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI (CAG) KWA HESABU ZINAZOISHIA TAREHE 30 JUNI 2024

    June 19, 2025
  • HALMASHAURI YA NKASI YAITEMBELEA MAFINGA MJI KUBADILISHANA UZOEFU

    June 18, 2025
  • MWANZA NA DODOMA ZATINGA FAINALI SOKA WAVULANA UMITASHUMTA 2025

    June 17, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.