• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

MIKOA NA HALMASHAURI ZATAKIWA KUAINISHA NA KUTANGAZA MAENEO YAKE YA UWEKEZAJI

Posted on: September 28th, 2023

Naibu waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Exaud Kigahe(Mb) ameelekeza Mikoa yote kuainisha maeneo ya uwekezaji na kuyatangaza ili wawekezaji wakifika nchini wakute mazingira wezeshi kuwekeza ,kukuza utalii na uchumi wa nchi bila urasimu kwani maeneo tayari yanakuwa yapo yamepimwa miundombinu yote ipo na yanafahamika.


Amesema kila Mkoa na wilaya  uandae mikakati ifuatayo ili kuweza kukuza uchumi, kuendeleza utalii na kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji.

-Mikoa na Halmashauri zake ziendelee kutangaza fursa za Utalii katika Mikoa yake.

-Kuibua mazao ya Utalii na Kuendeleza kutangaza vivutio vya utalii kusini.

-Timu za Uratibu ufanyike kwa pamoja ili kuweza kuandaa kwa ufanisi Maonesho ya Karibu Kusini.

Aidha Naibu Waziri Kigae amewataka watanzania kuwekeza katika hotel za nyota 5 ili kuweka mazingira mazuri ya wageni na wawekezaji na kukuza uchumi wa mwananchi mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla.


 Akizungumza wakati wa kumkaribisha Mgeni rasmi, Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mheshimiwa Halima Dendego amesema Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan amekuwa kinara na Balozi namba moja katika kutangaza na kukuza Utalii hivyo, Maonesho haya ya Utalii Karibu Kusini ni jitihada za kuunga mkono juhudi za mhshimiwa Rais katika kutangaza vivutio vya Utalii Karibu Kusini.


“ Maonesho haya yamekuwa na mafanikio makubwa sana kwa Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini kwani sasa mikoa hii 10 ambayo inaratibu Maonesho haya vivutio vyake vinatangazwa na watalii wanakuja kwa wingi kutembelea vivutio hivi. Mpakq leo tunapoenda kufunga maonesho haya tumepata waoneshaji 135 kutoka sehemu mbalimbali nchini hata nje ya Mipaka ya Tanzania. hakika tunajivunia”


Katika Maonesho haya ya Karibu kusini Banda la Wizara ya Maliasili na Utalii limeibuka banda bora la Jumla, Mkoa ulioibuka kidedea katika sekta ya Mikoa ni mkoa wa Njombe na Wizara iliyoibuka mshindi upande wa wizara ni wizara ya Maliasili na Utali.

Maonesho haya yamepambwa na burudani mbalimbali ikiwamo mashindano ya magari , pikipiki na ngoma za utamaduni kutoka nyanda za juu kusini.


Maonesho haya ya Utalii Karibu Kusini yalizinduliwa tareheb23/9/2023 na Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Angellah Kairuki(Mb) katika Viwanja vya kihesa Kilolo Iringa.


Imeandaliwa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini- Mafinga TC


Sima Bingileki

Mkuu wa Kitengo Cha Mawasiliano- Mafinga TC

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA VIFUNGWE MFUMO WA GoT-HOMIS

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA YAPATA HATI SAFI YA UKAGUZI KUTOKANA NA TAARIFA YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI (CAG) KWA HESABU ZINAZOISHIA TAREHE 30 JUNI 2024

    June 19, 2025
  • HALMASHAURI YA NKASI YAITEMBELEA MAFINGA MJI KUBADILISHANA UZOEFU

    June 18, 2025
  • MWANZA NA DODOMA ZATINGA FAINALI SOKA WAVULANA UMITASHUMTA 2025

    June 17, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.