• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA AMEFANYA ZIARA YA KUSIKILIZA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI.

Posted on: June 22nd, 2023

Hakikisheni mnaweka wazi  na kuwasomea wananchi mapokezi ya fedha zote mnazopokea za miradi ya maendeleo  kwenye mikutano ya Kata na mbao za matangazo kwani wananchi wanahaki ya kujua mapato na matumizi ili kujua nini serikali inafanya na kufahamu Miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwenye Kata husika.


Akizungumza kwenye ziara ya Mkurugenzi ya Kusikiliza changamoto za watumishi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Mafinga Ndugu, Ayoub Kambi amesema kuwa Katika Utumishi kuna Haki na Wajibu, hivyo kila mtumishi ahakikishe anatimiza wajibu wake anapodai Haki.


“ Nimepokea changamoto zenu na nitazufanyia kazi na ndo mana nimekuja na wataalamu wangu ili lile linaloweza kutatulika liishe na Yale yanayohitaji ufuatiliaji nayachukua kwa Utekelezaji mkifanya kazi kwa uwazi hakutakuwa na malalamiko Kwa Serikali.


Amesema malalamiko ya wananchi ngazi ya kata yatatuliwe na wananchi Wasikilizwe kwa kutumia lugha mzuri. Aidha ameagiza Wataalamu Makao Makuu kufanya ziara na kutoa ufafanuzi kuhusu Masuala ya haki za watumishi na sera mbalimbali ili kuwajengea uelewa watumishi ngazi ya Kata.


Kikao hicho kimehudhuriwa na Watumishi wote Kata ya Bumilayinga na Kata ya Isalavanu wakiongozwa na Kaimu Mtendaji wa Kata ya Bumilayinga ndugu,Nikanileka Chaula, Mtendaji Kata ya Isalavanu Calvina Msovela, Wataalamu kutoka Makao Makuu Idara ya Utawala, Elimu Msingi na Sekondari .


Ziara ya Mkurugenzi Halmashauri ya Mji Mafinga Ndugu Ayoub Kambi Ni ziara ya kimkakati ambayo imeanza tarehe 21/6/2023 mpaka tarehe 6/7/2023.


IMEANDALIWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI-MAFINGA TC


Sima Bingileki

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini -Mafinga TC

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA VIFUNGWE MFUMO WA GoT-HOMIS

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA YAPATA HATI SAFI YA UKAGUZI KUTOKANA NA TAARIFA YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI (CAG) KWA HESABU ZINAZOISHIA TAREHE 30 JUNI 2024

    June 19, 2025
  • HALMASHAURI YA NKASI YAITEMBELEA MAFINGA MJI KUBADILISHANA UZOEFU

    June 18, 2025
  • MWANZA NA DODOMA ZATINGA FAINALI SOKA WAVULANA UMITASHUMTA 2025

    June 17, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.