• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA AMEFANYA ZIARA YA UFATILIAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: May 8th, 2025

Mkurugenzi MJI Mafinga Bi Fidelica Myovella akiwa ameambatana na Afisa Mipango Ndugu Peter Ngusa na Mhandisi wa Halmashauri ya MJI Mafinga Christopher Nyamvugwa wamefanya Ufuatiliaji wa Miradi ya Maendeleo lengo likiwa ni kuhakikisha hakuna changamoto yoyote inayosababisha Miradi isitekelezwe kwa wakati na kuhakikisha Miradi inajengwa kwa Ubora na kukamilika kwa wakati.


Miradi iliyopitiwa ni Mradi wa Ujenzi wa Madarasa 2 katika Shule ya Sekondari Itimbo Madarasa yanayojengwa kwa Mapato ya Ndani ambapo kiasi kilichotolewa na Halmashauri ni Milioni 50.


Aidha Mkurugenzi na Timu yake wametembelea Ukamilishaji wa Mabweni mawili katika Shule ya Sekondari Ndolezi ambayo yamekamilika kwa asilimia 90 , amewaomba kuhakikisha yanakamilika kwa wakati ili yaweze kutumika kama ambavyo yamelengwa .


Aidha katika Kata ya Isalavanu Mkurugenzi amejionea ukamilishaji wa darasa katika Shule ya Msingi Mamba na kushauri kukamilisha madawati ili yawe rafiki kwa matumizi ya wanafunzi.


Pia katika Kata hiyo yanajengwa madarasa 2 ambapo Halmashauri imepeleka kiasi cha shilingi milioni 50 kutoka katika Mapato ya ndani ili kujenga madarasa hayo katika Shule tarajiwa ya Sekondari ambayo itakuwa Mkombozi kwa wanafunzi wa eneo hilo na Kata za Jirani.


Aidha amewataka Wataalamu kusimamia mafundi ili UJENZI uwe kwenye ubora na thamani ya Majengo na fedha zilizowekwa zifanane na majengo yakamilike kwa wakati.


“ Mafundi wanafanya kazi nzuri lakini tusiwaache peke yao lazima tuwasimamie kwa ukaribu ili ikitokea changamoto tuibaini haraka tusisubiri viongozi waje wabaini changamoto zetu”


Mradi mwingine uliotembelewa ni UJENZI wa madarasa 2 katika Kata ya Bumilayinga ambapo amewataka wasimamizi ngazi ya Kata kusimamia vizuri ukamilishaji wa Madarasa hayo ili kuweza kupata usajili mapema mwakani.


Sima BINGILEKI

Afisa Habari Mkuu

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA KUNUFAIKA NA MIRADI YA TACTIC

    May 09, 2025
  • TUHAKIKISHE TUNAITUMIA SIKU HII ILIYOBAKI KUBORESHA TAARIFA ZETU NA KUJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KWA AWAMU YA PILI

    May 09, 2025
  • MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA AMEFANYA ZIARA YA UFATILIAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

    May 08, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI IMEENDESHA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KWA AWAMU YA PILI JIMBO LA MAFINGA MJINI

    May 02, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.