• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA BI FIDELICA MYOVELLA AFANYA ZIARA YA UFUATILIAJI KUONA MAENDELEO YA MIRADI NA CHAMGAMOTO ZINAZO WAKABILI MAFUNDI KWENYE UTEKELEZAJI

Posted on: February 19th, 2025

uhakikishe tunawapa ushirikiano mafundi na tuwe nao karibu ili waweze kumaliza kazi kwa wakati na kwa ubora mkubwa ili kusiwepo kasoro katika ukamilishaji wa Miradi tunayoitekeleza kwa mfano, Maabara hii katika Shule ya Sekondari Nyamalala hadi kukamilika kwake itagharimu kiasi cha shilingi Milioni 61 inajengwa na fedha za mapato ya ndani ambazo ni kodi za wananchi hivyo lazima tuzisimamie zilete manufaa kwa jamii yetu”

Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi Mji Mafinga Bi Fidelica Myovella alipokuwa akifanya ziara ya ufuatiliaji kuona maendeleo ya Miradi na chamgamoto zinazo wakabili mafundi kwenye utekelezaji wa Miradi hiyo.

Jumla ya Miradi 7 ilipitiwa na Mkurugenzi wa Mji Mafinga ukiwamo mradi wa:-
Ukamilishaji Shule ya Sekondari Upendo
- Ujenzi wa jengo kituo cha afya Ifingo
- Ukamilishaji shule ya Amali bwalo, jiko na mabweni
- Ukamilishaji wa Maabara Shule ya Sekondari Nyamalala
- Ujenzi wa Bwalo Chief Mkwawa English medium
- Ujenzi nyumba 2 in 1 Shule ya Sekondari Ndolezi.

Akizungumza Mkurugenzi Mji Mafinga Amesema Fedha zinazoletwa kutoka Serikali Kuu ni nyingi ambapo ndoto ya Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ni kuona wanafunzi wa Kitanzania wanapata elimu bora katika mazingira wezeshi na Sekta nyingine zinaimarika katika miundombinu ya majengo, vifaa na watoa huduma ili wananchi wapate huduma bora naya haraka.

Nyumba ya Walimu 2 in 1 katika Shule ya Sekondari Ndolezi inajengwa kwa fedha kutoka Serikali Kuu( SEQUIP) ambapo gharama za Mradi ni shilingi milioni 100.

Imeandaliwa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini-Mafinga TC

Sima Mark Bingileki
Afisa Habari Mkuu




Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Mafinga akikagua miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo ujenzi waa shule ya Amali.

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA VIFUNGWE MFUMO WA GoT-HOMIS

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA YAPATA HATI SAFI YA UKAGUZI KUTOKANA NA TAARIFA YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI (CAG) KWA HESABU ZINAZOISHIA TAREHE 30 JUNI 2024

    June 19, 2025
  • HALMASHAURI YA NKASI YAITEMBELEA MAFINGA MJI KUBADILISHANA UZOEFU

    June 18, 2025
  • MWANZA NA DODOMA ZATINGA FAINALI SOKA WAVULANA UMITASHUMTA 2025

    June 17, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.