• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

MKURUGENZI WA MJI MAFINGA BI MYOVELLA ASHIRIKI ZOEZI LA KUFANYA USAFI KATIKA KUAZIMISHA MIAKA 63 YA UHURU WA TANGANYIKA

Posted on: December 9th, 2024

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Mafinga Bi Fedelica Myovela  ameshiriki katika zoezi la kufanya usafi  katika maeneo ya stendi ya Matanana pamoja na Hospitali ya Mji Mafinga ikiwa ni kuazimisha miaka 63 ya Uhuru wa Tanganyika   yenye kauli mbiu “ Uongozi  Madhubuti na Ushirikishwaji wa Wananchi ni Msingi wa Maendeleo Yetu”.

Katika zoezi hilo la kufanya usafi  limehudhuruwa na watumishi  mbalimbali wa Halmashauri na wananchi wa Mafinga, na makundi mbalimbali ambapo Mkurugenzi Bi Myovella amewataka wananchi wa mji  wa mafinga kuhakikisha wanafanya usafi katika maeneo yao ya biashara ili kuhakikisha ya nakuwa masafi wakati wote hii itasaidia kuepukana na magonjwa ya mlipoko katika maeneo yetu ya biashara .

Aidha ametoa rai kwa Watendaji na Wenyeviti wa Mitaa kuhakikisha wanakuwa na desturi za kupita katika masoko  na kwenye maduka ili kuhamasisha zoezi la usafi liendelee kufanyika kila siku na kuacha kufanya usafi kwa mazoa ya kusubiri mwisho wa mwezi .

Pia Bi Myovella amewapongeza watumishi wote, wananchi na makundi mbalimbali ambayo yamejitokeza katika kufanya usafi  na kuwasisitaza umuhimu wa kutunza mazingira na kufanya usafi katika maeneo yao na kuwa mstari wa mbele kuhakikisha maeneo yanakuwa safi na salama pia Bi muyovella amepanda miti katika Hospitali ya Mji Mafinga  ili kuhamasisha  jamii kupanda miti katika maeneo yao.

Habari na Michael Ngowi 

Afisa Habari Halmashauri ya Mafinga Mji


Picha mbalimbali katika zoezi la ufanyaji usafi  Halmashauri ya Mji Mafinga ikiwa ni kuadhimisha miaka 63 ya Uhuru wa Tanganyika .

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI IMEENDESHA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KWA AWAMU YA PILI JIMBO LA MAFINGA MJINI

    May 02, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MBUNGE WA MAFINGA MJI AKABIDHI MITUNGI YA GESI

    May 01, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.