• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

WAKAZI WA MTAA WA ISALAVANU WAPEWA ELIMU NA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA KUHUSU UTAWALA BORA NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA

Posted on: August 12th, 2025

Watumishi wa Halmashauri ya Mji wa Mafinga kutoka katika Idara ya Utumishi na Maliasili wamefanya ziara katika ofisi ya serikali ya Mtaa wa Isalavanu na Kutoa Elimu kwa Wakazi hao kuhusu Utawala Bora na Utunzaji wa Mazingira.


Akiongea na Wakazi hao katika ofisi ya Serikali ya Mtaa wa Isalavanu Afisa Utumishi ndugu Dennis Mselema amesema “Wananchi ni haki yenu kuelewa Utawala Bora kwa sababu inawasaidia kutambua demokrasia na haki zenu za msingi,pia Mtendaji na Mwenyekiti ni vyema kufanya vikao vya Mkutano Mkuu kila baada ya miezi mitatu ili kujua Mapato na Matumizi ya Serikali ya Mtaa na kila Mwananchi ana wajibu wa kulinda Mali ya Umma”.


Naye Afisa Maliasili Ndugu Demitrus Kamtoni amesema kuwa Wananchi wanapaswa kutunza Mazingira kwa kuepuka Kukata Miti bila Vibali na Utaratibu wa utoaji wa Vibali unapaswa kufuatwa kwa kila Mwananchi anayehitaji kuvuna shamba lake pia atakayebainika kukiuka Utaratibu Atatozwa Faini ya Shilingi Elfu Hamsini. “Wananchi pia ni wajibu wenu kutunza Vyanzo vya Maji kwa kwa kufanya shughuli za kilimo umbali wa Mita sitini kutoka vyanzo cha Maji,Pia kuhusu


Shughuli za Uchimbaji Wa Madini lazima Taarifa itolewe kwenye Ofisi ya Mkurugenzi na utoke uthibitisho kutoka Ofisi ya Madini ya Mkoa wa Iringa pia ni vyema Wananchi kuunda Kikundi Cha Kuvuna Nyuki kwani watapata faida kubwa kwa sababu ya uwepo mkubwa wa Soko la Asali na Nta.”


Amesema. Wakati huo huo Afisa Mtendaji wa Mtaa wa Isalavanu ndugu Bosco Mgimwa amesema Wanashukuru Halmashauri ya Mji wa Mafinga ikiongozwa na Mkurugenzi Bi, Fidelica Myovella kwa Elimu waliyopewa kuhusu Utawala Bora na Utunzaji wa Mazingira hivyo Watajitahidi kuzingatia maelekezo hayo kwa ajili ya Maendeleo ya Mtaa wa Isalavanu.


Vedasto Faustine Malima.

Afisa Habari

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • MKUU WA WILAYA YA MUFINDI DKT LINDA SELEKWA AONGOZA KIKAO CHA LISHE

    August 15, 2025
  • TANZANIA HEADS OF SECONDARY SCHOOL ASSOCIATION

    August 15, 2025
  • ALMASHAURI YA MJI MAFINGA YATOA MAFUNZO KWA VIKUNDI 26 VYA WANUFAIKA WA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI

    August 13, 2025
  • WAKAZI WA MTAA WA ISALAVANU WAPEWA ELIMU NA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA KUHUSU UTAWALA BORA NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA

    August 12, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.