• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

KONGAMANO LA UHURU MIAKA 63 YA UHURU WATENDAJI NA WENYEVITI WATAKIWA KUWA WAADILIFU

Posted on: December 9th, 2024

Halmashauri ya Mji Mafinga imefanya Kongamano la kuwajengea uwezo na kuwakumbusha majukumu ya msingi Wenyeviti  na Watendaji wa Mitaa ambao wamechaguliwa hivi karibuni, katika kongamano hilo limehudhuriwa na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Mufindi  ikiwa ni katika sherehe za kuazimisha miaka 63 ya Uhuru wa Tanganyika  ambapo  kauli mbiu ni  “ Uongozi  Madhubuti na Ushirikishwaji wa Wananchi ni Msingi wa Maendeleo Yetu”.

Katika kongamono hilo ambalo mgeni rasmi ni Afisa Tawala Ndugu Robert Kilewo ambapo ameambatana na  watoa mada mbalimbali kutoka vyombo vya Ulinzi na Usalama ikiwemo Jeshi la Polisi, Tasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU)  pamoja na Jeshi la Uhamiaji  ambao wote wametoa mada za kuwajengea uwezo na uadilifu pamoja na uwajibikaji katika maeneo yao ya kazi .

Washiriki katika kongamano hili wamekumbushwa kusimamia maadili na miongozo ya kazi zao ikiwemo kushiriki vikao vya maendeleo katika maeneo yao  na pia kuibua miradi ambayo inapewa kipaumbele na wananchi ili kuhakikisha maendeleo yanafika kwa wakati pia wamesisitizwa kuwa na utaratibu wa kusoma mapato na matumizi ya Mitaa na Vijiji ili kuwajengea imani wananchi ambao wanawaongoza.

Aidha Watendaji na Wenyeviti ambao wameshirikia kongamao hilo wametakiwa kuhakikisha wanapinga vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa watoto na makundi mbalimbali katika jamii na pia kushirikiana na vyombo vya Ulinzi na Usalama ikiwemo jeshi la polisi kuhakikisha wanatoa taaarifa kwa za vitendo vya ukatili ili kuweza kujenga jamii iliyo bora .

Katika kongamao hilo washiriki wamesisitizwa kuwa waadilifu na kuachana na vitendo vya rushwa kwani vimekuwa ni adui wa maendelo katika jamii na kusbabisha migogoro ambayo inapelekea uvunjifu wa amani pia wameaswa kutumia vitendea kazi vyo vizuri ikiwemo mihuri pamoja na matumizi bora ya ofisi ili kuhakikisha wanaleta maendeleo katika maneo yao.

Sambamba na nasaha hizo ambazo zimetolewa katika kongamano hilo la kuazimisha miaka 63 ya Uhuru wa Tanganyika Watendaji wa Vijiji na Kata pia wametakiwa kushiriki kikamilifu katika shughuli za Ulinzi na Usalama wa maeneo yao ikiwemo kutambua wageni katika maeneo yao na kusimamia uwandikishwaji wa watoto shuleni kwa darasa la kwanza na awali kwa mwezi ujao ili kuhakikisha jamii inaelimika na kupata elimu.

Pia mgeni rasmi Afisa Tawala wa Wilaya ya Mufindi ndugu Robert Kilewo kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya Mheshimiwa Dkt Linda Selekwa amepongeza jitihada zinazofanywa na Serikali katika kuhakikisha wananchi wanapata maendeleo ikiwemo fedha zinazo tolewa za miradi ya maendeleo na pia amipongeza Halmashauri ya Mji Mafinga kwa kuendelea kufanya kazi kwa ushirikiano jambo linalopelekea miradi kusongo mbele na wananchi kupata huduma.

Michael Ngowi 

Afisa Habari Halmashauri ya Mji Mafinga.






Wajumbe mbalimbali  wakiwemo  wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wakifatilia Kongamano la  miaka 63 ya Uhuru wa Tanganyika ambalo limetumika kuwajengea uwezo Watendaji na Wajumbe wa Serikali za Mitaa ambao wamechaguliwa hivi karibuni juu ya uwajibikaji na uadilifu katika kazi zao.

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI IMEENDESHA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KWA AWAMU YA PILI JIMBO LA MAFINGA MJINI

    May 02, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MBUNGE WA MAFINGA MJI AKABIDHI MITUNGI YA GESI

    May 01, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.