• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

MKUU WA MKOA WA IRINGA AKABIDHI PIKIPIKI 216 KWA MAAFISA UGANI MKOA WA IRINGA

Posted on: March 1st, 2023


Mkuu wa Mkoa wa Iringa  Mheshimiwa Halima Dendego amekabidhi pikipiki 216 kwa Maafisa Ugani wa Mkoa wa Iringa ambazo zimetolewa na wizara ya kilimo, lengo likiwa ni kuleta mapinduzi ya kijani katika sekta ya kilimo cha chakula na kilimo cha kibiashara.


Amesema Serikali ya Awamu ya sita imedhamiria kuinua na kuleta mapinduzi katika Sekta ya kilimo. Hivyo lengo la Mheshimiwa Rais ni kuona wakulima wanapewa ushauri wa Kitaalamu kwa ukaribu ili kuinua hali zao za kiuchumi kupitia sekta ya kilimo.

“ Maafisa Ugani tuhakikishe pikipiki hizi zinaleta Mapinduzi ya kijani, kila mmoja atimize wajibu wake, anachotaka kuona Mheshimiwa Rais ni kuwasaidia wakulima kuwashauri kitaalamu”


Nae Katibu Tawala Msaidizi Uchumi na uzalishaji Mkoa wa Iringa, Ndugu Elias Luvanda amesema Mkoa wa Iringa una jumla ya Maafisa Ugani 230 na mahitaji ni maafisa Ugani 444 hivyo upungufu ni Maafisa Ugani 214, hivyo pikipiki hizi zilizotolewa na Wizara ya Kilimo zitasaidia kwa kiasi kikubwa kuinua sekta ya kilimo kwa wataalamu sasa watawafikia wakulima popote walipo hususan kwenye Mkoa wa Iringa.

Amesema Wizara ya Kilimo italeta Sare kwaajili ya Maafisa Ugani hao,vifaa vya kupimia (Soil Scaner )ubora wa udongo kwaajili ya kilimo na kutakuwa na daftari maalumu la kilimo katika kila kijiji ambalo litawatambua wakulima wote kati eneo husika, kilimo kinachofanyika, na ushauri unaotolewa ili kila mmoja atimize wajibu wake.

Katika pikipiki zilizotolewa 216, Halmashauri ya Mji Mafinga imepokea jumla ya pikipiki  16 kwaajili ya maafisa ugani 16 walio katika Halmashauri hiyo.

Akizungumza Mkuu wa Idara ya Kilimo Ndugu, Francis Maghembe amesema kuwa  pikipiki zilizopokelewa zitasaidia kuwafikia wakulima hadi ngazi ya kijiji hivyo wamemuahidi Mheshimiwa Rais Dkt, Samia Suluhu Hassan kufanya kazi kwa bidii na kuhakikisha wakulima katika Halmashauri ya Mji wa Mafinga wanafikiwa na kushauriwa ili kukuza  na kuongeza mapinduzi ya kijani katika Mkoa wa Iringa.


IMEANDALIWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI- MAFINGA TC


Sima Bingileki

Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini- Mafinga TC


@samia_suluhu  hassan

@halimadendego

@ortamisemi

@daud_yasin_mlowe

@angellah_kairuki

@wizara_ya kilimo


Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI IMEENDESHA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KWA AWAMU YA PILI JIMBO LA MAFINGA MJINI

    May 02, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MBUNGE WA MAFINGA MJI AKABIDHI MITUNGI YA GESI

    May 01, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.