• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

Mkuu wa mkoa wa iringa mh. Ally Hapi ametoa siku 90 wazee wote wanapewa vitambulisho vya matibabu bure.

Posted on: August 15th, 2018


Mkuu wa mkoa Iringa mh. Ally Salum Hapi ametoa siku 90 toka tarehe 11 agosti 2018 kuhakikisha wazee wote wa mkoa wa iringa waliotambuliwa wanapewa vitambulisho vya matibabu bure.

Ameyasema hayo jana wakati akiongea na watumishi wa Halmashauri ya wilaya mufindi na mji wa mafinga zilizoko mkoani iringa wakati wa ziara yake ya kwanza wilayani mufindi kwa ajili ya kujitambulisha.

“Na kwenye hili nimesema wazee wasiwafuate halmashauri kwenda kupewa hivyo vitambulisho bali halmashauri kupitia mganga mkuu na timu yake mtoke muwafuate wazee kata kwa kata muwaandikishe, muwaasajili na kisha muwapelekee vitambulisho mahali walipo”.

Aidha amewataka watumishi kutofanya kazi kwa mazoea bali watimize wajibu wao kwa mujibu wa kanuni, taratibu na sheria na pia waongeze ubunifu katika kazi zao ili kuleta matokeo chanya na kusisitiza kwamba kazi yao ni moja tu kuhakikisha wanamsaidia Rais.

Awamu ya tano inazungumzia hapa kazi tu ni lazima watendaji watoke ofisini na kwenda kuwahudumia wananchi ili kutatua shida zao, kutenda haki na kuwa waadilifu.

“Pia ni lazima tuongeze juhudi za kukusanya mapato ya serikali kwa kubuni vyanzo vipya vya mapato ili halmashauri zetu zote za mkoa wa Iringa zisishuke asilimia 90%”alisema mh. Hapi.

Hata hivyo mh. Hapi ametangaza kuanza kwa kampeni ya iringa mpya ambapo atazunguka tarafa zote ndani ya siku 18 na kufanya mikutano isiyopungua 03 kwa ajili ya kusikiliza kero za wananchi.

Akisoma taarifa ya wilaya, mkuu wa wilaya mufindi mh. Jamhuri David William amesema anaishukuru serikali ya awamu ya tano inayo ongozwa na Rais Dkt John Pombe Magufuli kwa kuendelea kupeleka fedha za maendeleo na matumizi ya kawaida katika wilaya yake.

Mwaka 2017/2018 wilaya ya mufindi ilipokea fedha kutoka serikali kuu kiasi cha tshs bilioni 6 na milioni 200 kwa ajili ya maendeleo na matumizi ya kawaida.

Halmashauri ya mji wa mafinga mwaka 2017/2018 wamekusanya tshs. bilioni 2.6 kati ya lengo la kukusanya bilioni 2.7 sawa na asilimia 84%

“Mbali na hivyo umetuelekeza pia tuandike andiko maalumu kwa ajili ya mradi mwingine wa kimkakati wa ujenzi wa barabara ya lami kutoka mafinga mjini hadi Mgololo kilomita 80. tunaenda kutekeleza kwani barabara hiyo inapita kwenye viwanda vingi ndani ya wilaya yetu na itaamsha uchumi wa maeneo mengi sana katika wilaya yetu” alisema mh. Wiliam

Akitoa shukrani mwenyekiti wa halmashauri ya mji wa mafinga mh. Charles Makoga alisema “yote uliyoyasema kwetu sisi ni maagizo tunakuahidi tunakwenda kutekeleza na ninaomba watumishi sasa tukaanze vizuri kuanzia leo”.

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI IMEENDESHA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KWA AWAMU YA PILI JIMBO LA MAFINGA MJINI

    May 02, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MBUNGE WA MAFINGA MJI AKABIDHI MITUNGI YA GESI

    May 01, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.