• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

MKUU WA MKOA WA IRINGA MHESHIMIWA HALIMA DENDEGO AMEFANYA ZIARA KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA KUKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO.

Posted on: October 20th, 2023

Hakikisheni Miradi hii inakamilika katika Muda uliopangwa na thamani ya Mradi iendane na fedha iliyotumika, Mpaka hapa mlipofikia kwenye hatua ya ukamilisha thamani ya

Miradi inaonekana na ninaimani mtaikamilisha kwa wakati kama ambavyo maelekezo yanasema.Jukumu letu ni kumuunga mkono Mhe. Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa juhudi zake kubwa anazofanya kuhakikisha fedha zinakuja kwa wakati “


Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mheshimiwa Halima Dendego alipofanya ziara katika Halmashauri ya Mji Mafinga kukagua utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo.


Miradi iliyotembelewa na Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mheshimiwa Halima Dendego akiwa ameambatana na Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mhe. Dkt Linda Salekwa na kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya ya mufindi ni  Mradi wa Ujenzi wa Shule Mpya ya Sekondari ya Ndolezi( SEQUIP)  ambayo inajengwa kwa fedha kutoka Serikali Kuu kiasi cha Shilingi 583,180,028 na unatarajiwa kukamilika tarehe 30/10/2023


Majengo yaliyopo katika Shule hii ni pamoja na:-


Vyumba 8 vya madarasa


Maabara tatu


Jengo la TEHAMA


Kichomea Taka


Jengo la Matundu 10 ya vyoo wasichana



Jengo la Matundu 8 ya wanafunzi wa wavulana


Maktaba 1


Chumba cha Computer 1



Aidha Mkuu wa Mkoa pia ametembelea ujenzi wa Jengo la kuhifadhia Maiti( Mortuary) katika Hospitali ya Mji Mafinga ambapo chanzo cha Fedha za ujenzi ni mapato ya ndani ya Hospitali ya Mji Mafinga ambapo mpaka sasa fedha zilizotengwa ni shilingi milioni 66.750



Akizungumza Mganga Mkuu

Wa Halmashauri ya Mji Mafinga Dkt. Chitolela Bonaventulla amesema kuwa jengo la kuhifadhia Maiti lilipangiwa fedha kwa Awamu mbili kutoka mapato ya ndani ya Hospitali ya Mji Mafinga. Ambapo awamu ya kwanza zilitolewa Milioni 41.750 na awamu hii jengo lipo hatua ya umaliziaji ambapo zimetengwa shilingi  Milioni 25.



Amesema lengo la kujenga jengo jipya la kuhifadhia Maiti( Mortuary)  katika Hospitali ya Mji Mafinga ni baada ya kuona uchakavu wa jengo la zamani,kutoa huduma kwa wananchi kuleta miili ya ndugu zao wakitokea Maeneo jirani Mji wa Mafinga kwani jengo linauwezo wa kuchukua makabati manne na kulitoa usoni mwa hospitali kuliweka nyuma ya hospitali kwa vigezo vya WHO  zaidi ni kupunguza muingiliano uliokuwepo nyuma.



Jengo linatarajiwa kukamilika mwezi Novemba 2023.


Ziara pia imhudhuriwa na waheshimiwa Madiwani, Mkurugenzi Mji Mafinga Ndg. Ayoub Kambi pamoja na wataalamu wa Halmashauri ya Mji Mafinga.


Imeandaliwa na Kitengo cha Mawasiliano Setikalini- Mafinga Tc


Sima Bingileki

Mkuu wa Kitengo Cha Mawasiliano Serikalini- Mafinga TC



Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA VIFUNGWE MFUMO WA GoT-HOMIS

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA YAPATA HATI SAFI YA UKAGUZI KUTOKANA NA TAARIFA YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI (CAG) KWA HESABU ZINAZOISHIA TAREHE 30 JUNI 2024

    June 19, 2025
  • HALMASHAURI YA NKASI YAITEMBELEA MAFINGA MJI KUBADILISHANA UZOEFU

    June 18, 2025
  • MWANZA NA DODOMA ZATINGA FAINALI SOKA WAVULANA UMITASHUMTA 2025

    June 17, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.