• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

MKUU WA WILAYA YA MUFINDI AKIZUNGUMZA NA WAZEE WA WILAYA YA MUFINDI - MAFINGA .

Posted on: July 17th, 2023

ALIYOSEMA MKUU WA WILAYA YA MUFINDI MHE. DKT. LINDA SALEKWA WAKATI AKIZUNGUMZA NA WAZEE WA WILAYA YA MUFINDI- MAFINGA


-Nawashukuru Viongozi wa dini na viongozi wa kimila kufanya dua na kuhakikisha Mufindi ni salama.


-Moja ya Mkakati wa Wilaya ya Mufindi ni kuhakikisha maadili yanafuatwa.


- Ofisi ya Mkuu wa Wilaya itahakikisha fedha zote zinazotolewa na Serikali zinatekeleza majukumu yaliyo pangwa.


- Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Mufindi itahakikisha inasimamia haki za wazee.


- Taifa linatambua mchango mkubwa wa wazee katika kusimamia nchi.


-Wazee ni hazina, tuhakikishe tunatimiza wajibu wetu na kusimamia nafasi zetu katika kutunza maadili ya vijana wetu.


-Katika kupambana na mmomonyoko wa maadili tunategemea sana wazee.


-Wazee mnawajibu wa  kuwaasa vijana katika kusimamia maadili.


- Vitendo vya Ukatili ushoga havikubaliki kwenye jamii yetu. Tuvipinge.


-Tutahakikisha wote wasio fata maadili wanashughulikiwa katika kutoa huduma kwa wazee, hasa kwenye sekta za Afya. Tuwahudumie na kuwathamini wazee wakija kutaka huduma kwetu.


- Wakurugenzi hakikisheni kwenye vituo vya Afya wazee wanapewa umuhimu na kipaumbele katika kuhudumiwa


- Wazee wasipange foleni sehemu yoyote wahudumiwe haraka.


- Wazee mkiona hampewi haki na kuhudumiwa kwa haki toa taarifa haraka taja eneo na wapi tutashughulika na huyo muhusika.


- Wahusika wa barabara wahakikishe matuta yanawekwa sehemu zenye mikusanyiko ya watu.


- Wawekezaji wageni wapewe misimamo ya wilaya na maadili ya watanzania ili waendane na jamii wanazoishi nazo na mikataba ya wafanyakazi kwenye viwanda ifuatiliwe ili kulinda haki za wafanyakazi.


- Suala la utapiamlo ni mkakati wa Wilaya na Mkoa tunahakikisha tunatokomeza tatizo hili.


- Tumeweka msisitizo kila shule mtoto mwanafunzi ale chakula cha mchana na wazazi wachangie chakula ili watoto wapate chakula wanapokuwa shuleni.


- Tumeagiza kila shule iwe na bustani ya mboga mboga hii ni katika  jitihada za kuzuia utapiamlo na kuboresha lishe.


- Tunaomba wazee mtusaidie kuwahimiza wazazi kuchangia chakula mashuleni ili kupambana na tatizo la lishe.


- IMEANDALIWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI- MAFINGA


- Sima Bingileki-Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA VIFUNGWE MFUMO WA GoT-HOMIS

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA YAPATA HATI SAFI YA UKAGUZI KUTOKANA NA TAARIFA YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI (CAG) KWA HESABU ZINAZOISHIA TAREHE 30 JUNI 2024

    June 19, 2025
  • HALMASHAURI YA NKASI YAITEMBELEA MAFINGA MJI KUBADILISHANA UZOEFU

    June 18, 2025
  • MWANZA NA DODOMA ZATINGA FAINALI SOKA WAVULANA UMITASHUMTA 2025

    June 17, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.