• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

MKUU WA WILAYA YA MUFINDI AKIZUNGUMZA NA WAZEE WA WILAYA YA MUFINDI - MAFINGA .

Posted on: July 17th, 2023

ALIYOSEMA MKUU WA WILAYA YA MUFINDI MHE. DKT. LINDA SALEKWA WAKATI AKIZUNGUMZA NA WAZEE WA WILAYA YA MUFINDI- MAFINGA


-Nawashukuru Viongozi wa dini na viongozi wa kimila kufanya dua na kuhakikisha Mufindi ni salama.


-Moja ya Mkakati wa Wilaya ya Mufindi ni kuhakikisha maadili yanafuatwa.


- Ofisi ya Mkuu wa Wilaya itahakikisha fedha zote zinazotolewa na Serikali zinatekeleza majukumu yaliyo pangwa.


- Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Mufindi itahakikisha inasimamia haki za wazee.


- Taifa linatambua mchango mkubwa wa wazee katika kusimamia nchi.


-Wazee ni hazina, tuhakikishe tunatimiza wajibu wetu na kusimamia nafasi zetu katika kutunza maadili ya vijana wetu.


-Katika kupambana na mmomonyoko wa maadili tunategemea sana wazee.


-Wazee mnawajibu wa  kuwaasa vijana katika kusimamia maadili.


- Vitendo vya Ukatili ushoga havikubaliki kwenye jamii yetu. Tuvipinge.


-Tutahakikisha wote wasio fata maadili wanashughulikiwa katika kutoa huduma kwa wazee, hasa kwenye sekta za Afya. Tuwahudumie na kuwathamini wazee wakija kutaka huduma kwetu.


- Wakurugenzi hakikisheni kwenye vituo vya Afya wazee wanapewa umuhimu na kipaumbele katika kuhudumiwa


- Wazee wasipange foleni sehemu yoyote wahudumiwe haraka.


- Wazee mkiona hampewi haki na kuhudumiwa kwa haki toa taarifa haraka taja eneo na wapi tutashughulika na huyo muhusika.


- Wahusika wa barabara wahakikishe matuta yanawekwa sehemu zenye mikusanyiko ya watu.


- Wawekezaji wageni wapewe misimamo ya wilaya na maadili ya watanzania ili waendane na jamii wanazoishi nazo na mikataba ya wafanyakazi kwenye viwanda ifuatiliwe ili kulinda haki za wafanyakazi.


- Suala la utapiamlo ni mkakati wa Wilaya na Mkoa tunahakikisha tunatokomeza tatizo hili.


- Tumeweka msisitizo kila shule mtoto mwanafunzi ale chakula cha mchana na wazazi wachangie chakula ili watoto wapate chakula wanapokuwa shuleni.


- Tumeagiza kila shule iwe na bustani ya mboga mboga hii ni katika  jitihada za kuzuia utapiamlo na kuboresha lishe.


- Tunaomba wazee mtusaidie kuwahimiza wazazi kuchangia chakula mashuleni ili kupambana na tatizo la lishe.


- IMEANDALIWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI- MAFINGA


- Sima Bingileki-Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • MKUU WA WILAYA YA MUFINDI DKT LINDA SELEKWA AONGOZA KIKAO CHA LISHE

    August 15, 2025
  • TANZANIA HEADS OF SECONDARY SCHOOL ASSOCIATION

    August 15, 2025
  • ALMASHAURI YA MJI MAFINGA YATOA MAFUNZO KWA VIKUNDI 26 VYA WANUFAIKA WA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI

    August 13, 2025
  • WAKAZI WA MTAA WA ISALAVANU WAPEWA ELIMU NA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA KUHUSU UTAWALA BORA NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA

    August 12, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.