• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

MKUU WA WILAYA YA MUFINDI MH.DKT.LINDA SELEKWA AWAHAKIKISHIA USALAMA WANANCHI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025

Posted on: October 24th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mhe.Dkt.Linda Selekwa amefanya Kikao na Waandishi wa Habari katika Ofisi yake ya Wilaya ya Mufindi na Kuwahakikishia Usalama Wananchi kuelekea Uchaguzi mkuu Mwaka 2025.


Akiongea katika kikao hicho Mhe.Dkt.Linda Selekwa amesema Wananchi wajitokeze kupiga kura kwa sababu ni Haki yao Kikatiba na hakuna Mgombea wa kupita bila kupingwa kwa Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025.


“Wananchi baada ya kupiga Kura hatutegemei Watu kukaa Vituoni na kulinda Kura na pia msikubali kusikiliza Maneno au Kuyumbishwa pia epukeni vitendo vitakavyohusisha Uvunjivu wa Amani pia Viongozi wa Dini Muwasihi Waumini wenu kulinda Amani na Utulivu”. amesema Mhe.Dkt .Selekwa.



Uchaguzi Mkuu Tanzania unafanyika kila baada ya Miaka Mitano na ni Tukio muhimu linalohusisha Wananchi kuchagua Raisi wa Jamhuri,Wabunge wa Bunge la Taifa na Madiwani.


Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 kwa upande wa Tanzania bara mchakato mzima unasimamiwa na Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) ambayo inahakikisha kila hatua inafanyika kwa Uwazi,Haki na Usawa.


Vedasto Faustine Malima

Afisa Habari

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • WATUMISHI WA AJIRA MPYA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA WAPEWA MAFUNZO YA MFUMO WA KIELEKTRONIKI-MUKI

    November 21, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA IMEANZA MIKAKATI YA KUTOKOMEZA UDUMAVU

    November 20, 2025
  • KUFANYIKA KWA MTIHANI WA TAIFA WA KUMALIZA KIDATO CHA NNE TAREHE 17/11/2025 HADI TAREHE 5/12/2025

    November 17, 2025
  • TAMISEMI WAKUSANYA MAONI KWA NJIA YA DODOSO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA KUHUSU MPANGO MKAKATI WA MWAKA 2021-2026

    November 14, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.