• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

Posted on: May 1st, 2025

Mwenge wa Uhuru 2025 katika Halmashauri ya Mji Mafinga yazindua, kukagua na kuweka jiwe la Msingi katika Miradi 11 ya Maendeleo yenye thamani ya shilingi Bilioni 3.1.


Akizungumza wakati wa Uzinduzi wa Miradi hiyo Mkimbiza Mwenge wa Uhuru Kitaifa Ndugu Ismail Ally Ussi amesema lengo la Serikali ni kuhakikisha Wananchi wanapata huduma bora na haraka ikiwa ni pamoja na kuboresha miundombinu katika sekta zote hasa Elimu, Afya na Maji, Barabara na Umeme.


“ Wananchi mliokusanyika hapa hakikisheni mnatunza Amani hii ya nchi na mkishiriki kutunza Miradi hii ya Maendeleo kwani imeletwa kwaajili yetu ikiwa ni matamanio ya Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuona huduma bora inatolewa kwa wananchi, kuanzia ngazi ya mtaa”


Miradi iliyozinduliwa kuwekewa jiwe la Msingi na kukaguliwa ni ujenzi wa nyumba ya mtumishi(2 in 1) katika Kituo cha Afya Ifingo, Ofisi ya Kata Kinyanambo, kukagua matumizi ya nishati Safi Pandamiti Kibiashara,Uzinduzi wa Kituo cha Mafuta cha Castoil, kuzindua bweni la wanafunzi wenye mahitaji maalumu, Madarasa mawili na Mradi wa Maji katika Shule ya Msingi Amani, kukagua shughuli za vijana waliopata Mikopo Asilimia 10, barabara, uzinduzi wa wodi daraja la kwanza katika Hospitali ya Mji Mafinga, utunzaji wa vyanzo vya maji na kukagua eneo kwaajili ya ujenzi wa viwanja vya michezo.


Mwenge wa Uhuru katika Wilaya ya Mufindi umepokelewa na Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mheshimiwa Dkt. Linda Salekwa akiwa na Kamati ya Ulinzi Wilaya ya Mufindi, Mkurugenzi Mji Mafinga Bi. Fidelica Myovela. viongozi wa Chama Wilaya ya Mufindi, Viongozi wa Dini. Taasisi Mbalimbali na Wananchi wa Wilaya ya Mufindi.


Sima Mark Bingileki

Afisa Habari Mkuu

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI IMEENDESHA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KWA AWAMU YA PILI JIMBO LA MAFINGA MJINI

    May 02, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MBUNGE WA MAFINGA MJI AKABIDHI MITUNGI YA GESI

    May 01, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.