• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

MWENGE WA UHURU WAZINDUA MIRADI SABA YA MAENDELEO UKIWEMO MRADI ULIOJENGWA KWA FEDHA ZA TOZO(CHANGARAWE SEKONDARI) KUTOKA SERIKALI KUU-MAFINGATC

Posted on: September 10th, 2022

MWENGE WA UHURU -2022 WAZINDUA, KUWEKA MAWE YA MSINGI NA KUKAGUA JUMLA YA MIRADI SABA YA MAENDELEO UKIWEMO MRADI WA UJENZI WA MADARASA MATATU SHULE YA SEKONDARI CHANGARAWE KWA( FEDHA ZA TOZO) ZA MIALA YA SIMU,YENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 880,596,736.00 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA.

Akipokea Mwenge wa Uhuru Mkuu wa Wilaya ya Mufidi Mheshimiwa Saad Mtambule amesema Mwenge wa Uhuru utakimbizwa  Kilometa 20.53 katika Mji wa Mafinga na kupitia Miradi saba ya Maendeleo yenye thamani ya shilingi Milioni 880,596,736.00.

Ameitaja Miradi hiyo kuwa ni Kuweka Jiwe la Msingi Ujenzi wa bweni katika Shule ya Msingi Amani, Kuzindua Mradi wa Maji katika Shule ya Sekondari Kinyanambo.

Kukagua mradi wa Uoteshaji miche bora ya Parachichi, Kukagua Mradi wa kikundi cha Vijana NESA, Kuzindua Mradi wa Ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami Mtaa wa Mkombe, Kuzindua Mradi wa Ujenzi wa madarasa matatu na ofisi moja kwa fedha za tozo Shule ya Sekondari Changarawe na Kuweka Jiwe la Msingi Ujenzi wa Jengo la kutolea huduma za Dharura(EMD) katika Hospitali ya Mji Mafinga.

Akizungumza baada ya kukagua na kuzindua Miradi yote ya Maendeleo katika Mji  Mafinga, Mkimbiza Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa Ndugu Sahili Nyanzabara Geraruma amesema hakika Miradi iliyopitiwa, kuzinduliwa na kuwekewa mawe ya Msingi inaendana na fedha iliyotumika kwani Miradi imetekelezwa kwa wakati na inagusa maisha ya wananchi moja kwa moja.

“  Hiki ndo kitu ambacho Serikali inataka kuona, ukiambiwa Jenga madarasa jiongeze ongeza na Ofisi ya walimu jambo hili  mlilolifanya kwenye Shule ya Sekondari ya Changarawe limetugusa sana.  Mlipokea kiasi cha shilingi million 37,500,000 kutoka Serikali kuu ikiwa ni Ukamilishaji wa Madarasa matatu  fedha za Tozo, Halmashauri mmechangia kiasi cha shilingi Milioni 19,445,500 wananchi mlioni 3.7 mmejenga madarasa mazuri kwaajili ya wanafunzi kusomea. Hakika hamjamuangusha Mheshimiwa Rais wetu, tuwapongeze wasimamizi wa Mradi huu na miradi yote, Mkurugenzi wa Mji Mafinga hakika utekelezaji wa Miradi unaonekana” Sahili Nyanzabara Geraruma Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa.

Akitoa salamu kwa wananchi Mbunge wa Jimbo la Mafinga Mji Mheshimiwa Cosato Chumi amesema Utekelezaji Mzuri wa Miradi ya Maendeleo unaonekana katika Mji wa Mafinga kwaajili ya Ushirikiano kubwa uliopo kati ya Viongozi wa Chama cha Mapinduzi, Waheshimiwa Madiwani, Ofisi ya Mkuu wa Wilaya, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa na wataalamu ngazi ya Wilaya wakiongozwa na Mkurugenzi wake Bi, Happiness Laizer.

IMEANDALIWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO-MAFINGATC

 

Sima Bingileki

Afisa Habari Mkuu


Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI IMEENDESHA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KWA AWAMU YA PILI JIMBO LA MAFINGA MJINI

    May 02, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MBUNGE WA MAFINGA MJI AKABIDHI MITUNGI YA GESI

    May 01, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.