• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

NAIBU WAZIRI WA MAJI AKAGUA MAENDELEO YA MRADI WA KUBORESHA MIFUMO YA MAJIKATIKA MJI MAFINGA UNAOTEKELEZWA KWA GHARAMA YA SHILINGI BILIONI 48.06 NA UTANUFAISHA WATUMIAJI ZAIDI YA 95000

Posted on: May 24th, 2024

“ Lengo la  Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Dkt Samia Suluhu Hassan ni kuhakikisha wananchi wanaoishi Mjini wanapata Maji safi na salama kwa Asilimia 95 na  vijijini Maji yanapatikana kwa asilimia  85. hivyo Mradi huu wa kuboresha mifumo ya Maji katika Mji Mafinga ni moja kati ya Miradi 28 inayotekelezwa na Serikali ya Awamu ya Sita.

Akizungumza  Naibu Waziri wa Maji (Mb) Mhandisi Kundo Andrea Mathew amesema

Mradi huu wa Maji wenye thamani ya shilingi Bilioni 48.06 Utasaidia  kuongeza watumiaji wa Maji kufikia lengo la Mheshimiwa Rais la kuhakikisha kila mwananchi mjini na vijijini anapata Maji safi na Salama.

“ Mradi ni mzuri  ila utekelezaji wake Umefikia asilimia 16 na ulitakiwa ukamilike Machi 2024 nimeona   utekelezaji wa mradi na nitaenda kusukuma ili fedha zije haraka kukamilisha mradi  huu ili malengo ya Mheshimiwa Rais yatimie ya  kuhakikisha wananchi wanapata Maji safi na Salama Mjini na vijijini.


Mradi huu wa Maji utahudumia wananchi zaidi ya 95000 wa kata za Boma, Wambi, Changarawe, Upendo na unasimamiwa na MAUWASA Mkoa wa Iringa.

Mheshimiwa Naibu Waziri Mathew ametembelea Mradi eneo la jeshini  yanapojengwa matenki ya Maji na  baadae ametembelea Chanjo cha Maji na Amepokelewa na Kaimu Mkuu wa Wilaya Ndugu Frank Sichalwe na Mkurugenzi wa Mji Mafinga  Bi, Fidelica Myovella na Wakuu wa Idara


Sima Bingileki

Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano Mafinga Tc

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI IMEENDESHA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KWA AWAMU YA PILI JIMBO LA MAFINGA MJINI

    May 02, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MBUNGE WA MAFINGA MJI AKABIDHI MITUNGI YA GESI

    May 01, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.