• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

RC-IRINGA AJIPANGA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAWEKEZAJI

Posted on: January 25th, 2023

“ Lengo la Serikali ni kuona Wawekezaji wanafanya shughuli zao Katika Mazingira mazuri hawabugudhiwi kwani uwepo wao unaongeza ajira kwa vijana wa kitanzania, kuongeza mapato na kuboresha mahusiano kati ya nchi na nchi.”

Pia tuhamasishe wananchi kutunza misitu yetu ya Asili, wasikate miti waweke Mazingira mazuri ya kuvutia kwa nyuki “

Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mheshimiwa Halima Dendego alipokuwa akifanya ziara ya kutembelea  Wadau mbalimbali wa Maendeleo walio katika Mji wa Mafinga na kusikiliza changamoto wanazokabiliana nazo na kujua shughuli zinazofanywa na wadau hao.

Amesema Wadau wa Maendeleo ni nguzo kubwa ya maendeleo na Uchumi wa wananchi na Serikali hivyo Wadau wa maendeleo Hasa wa viwanda na ni muhimu kuwasikiliza kila wakati na kutatua changamoto wanazokabiliana nazo.

Mkuu wa Mkoa atakuwa na siku tano za kikazi Wilaya ya Mufindi na kesho anatarajiwa kufanya kikao na WAWEKEZAJI wa Viwanda katika Wilaya ya Mufindi.

Katika ziara yake leo Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mheshimiwa Halima Dendego ametembelea Shamba la Miti Sao Hill, Kiwanda cha Dazhong kinachozalisha Marineboards, Panda Miti Kibiashara na Kiwanda cha MDF.

Aidha Mkuu wa Mkoa ameambatana na Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa, Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mheshimiwa Saad Mtambule, Kamati ya Ulinzi ma Usalama Wilaya Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Mafinga pamoja na Mkurugenzi wa Mji Mafinga na baadhi ya Wakuu wa Idara.

IMEANDALIWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI- MAFINGA TC

Sima Bingileki

Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Mafinga TC

Matangazo

  • LIPIA ADA YA LESENI YA USAFIRISHAJI( LATRA)MAFINGA FIKA OFISI YA BIASHARA AU TUPIGIE 0754-340059 February 02, 2023
  • MAENDELEO YA SHULE YA MCHEPUO WA KIINGEREZA CHIEF MKWAWA ACADEMY-HATUA YA RANGI March 20, 2023
  • ZIJUE RANGI MBALIMBALI ZA UPAUAJI WA MAJENGO KWA KILA KATA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA-TUPIGIE 0767857907 March 20, 2023
  • View All

Habari mpya

  • UPAUAJI WA MAJENGO KWA KUTUMIA RANGI MAALUM KWA KILA KATA- MAFINGA

    March 24, 2023
  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA YATOA JUMLA YA TSH 340,153,629.78/ - YA MIKOPO KWA VIKUNDI 33 VYA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU KWA KIPINDI CHA OKTOBA- DISEMBA 2022/2023.

    March 14, 2023
  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA YAANZA RASMI TAREHE 14/3/2023 KUTOA LESENI ZA BIASHARA KWA MFUMO WA TAUSI

    March 14, 2023
  • DC-MUFINDI AKABIDHI PIKIPIKI 16 KWA MAAFISA UGANI NA KILIMO WA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA

    March 14, 2023
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.