• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

RC-IRINGA AKAGUA UJENZI WA BARABARA KWA KIWANGO CHA LAMI-MAKONDEKO/IHONGOLE-MAFINGA

Posted on: August 11th, 2025

Mkuu wa Mkoa Iringa Mhe.Kheri James amefanya ziara katika Halmashauri ya Mji wa Mafinga na kukagua ujenzi wa Barabara ya kiwango Cha Lami inayoanzia Mtaa wa Makondeko na kuishia Mtaa wa Ihongole.


Akizungumza na Wananchi pamoja na Watumishi wa Halmashauri ya Mji wa Mafinga katika Mtaa wa Ihongole up Mhe.Kheri James amesema “Wananchi ni wajibu wenu kutunza Barabara kwa kuacha kutupa taka kwa manufaa yenu na vizazi vyenu kwa sababu inawasaidia katika usafiri,kurahisisha Shughuli za Maendeleo ya kiuchumi na inachochea ukuaji wa biashara”.


Akiambatana na Mkuu wa Mkoa katika Ziara hiyo Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mhe.Linda Selekwa amesema kuwa Serikali inapambana katika Ujenzi wa Barabara kwa kiwango Cha Lami katika Mkoa wa Iringa hivyo Wananchi wanapaswa kuunga mkono jitihada za Serikali na Viongozi katika kuleta Maendeleo,pia ameipongeza TARURA kwa kusimamia Mradi wa Ujenzi .


Naye Mwenyekiti wa Mtaa wa Ihongole ndugu Fasto Madenge amesema kuwa wanashukuru jitihada za Serikali katika kufanikisha Ujenzi wa Barabara na Taa ambazo zinawasaidia katika Shughuli za kiuchumi hivyo wanaahidi kulinda hiyo miundo mbinu. Mhe.Mkuu wa Mkoa ameendelea kumshukuru Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kuwasaidia kutekeleza Mipango mbalimbali ya Maendeleo katika Mkoa wa Iringa na ameipongeza Halmashauri ya Mji wa Mafinga chini ya Mkurugenzi Bi; Fidelica Myovella kwa ukusanyaji na matumizi Bora ya Fedha kwa kuzingatia vipaumbele kama Barabara,Elimu na Afya.


Vedasto Faustine Malima.

Afisa Habari.

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • MKUU WA WILAYA YA MUFINDI DKT LINDA SELEKWA AONGOZA KIKAO CHA LISHE

    August 15, 2025
  • TANZANIA HEADS OF SECONDARY SCHOOL ASSOCIATION

    August 15, 2025
  • ALMASHAURI YA MJI MAFINGA YATOA MAFUNZO KWA VIKUNDI 26 VYA WANUFAIKA WA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI

    August 13, 2025
  • WAKAZI WA MTAA WA ISALAVANU WAPEWA ELIMU NA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA KUHUSU UTAWALA BORA NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA

    August 12, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.