• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

RUDISHENI IMANI KWA TAKUKURU TAKUKURU MUFINDI YAOKOA KIASI CHA SHILINGI MILIONI 21 ZA SERIKALI YA KIJIJI CHA MATANANA-MAFINGA

Posted on: April 17th, 2025

“ Mmeona jinsi ambavyo TAKUKURU Wilaya ya Mufindi wanafanya kazi kwa Uaminifu , Kuokoa kiwango cha shilingi Milioni 21 na Ellf Arobaini kwa wananchi sio jambo dogo, Hili liwe fundisho kwetu wananchi.Rudisheni imani kwa TAKUKURU na Serikali”


Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu anatutaka tutatue kero za wananchi na kuwasikiliza tunafanya hivyo kama Serikali na nyie wananchi jukumu lenu lipo pale pale toeni taarifa kuhusu uhalifu, Tufichue uhalifu ni jukumu lako na jukumu langu”


Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mheshimiwa Dkt. Linda Salekwa alipokuwa akikabidhi kibali cha kuendelea na matumizi ya fedha kiasi cha shilingi 21,000,40.00/- baada ya fedha hizo kuokolewa na TAKUKURU- MUFINDI na Mahakama kuamuru fedha hizo zirudi kwa wananchi kwaajili ya Matumizi ya Serikali ya kijiji cha Matanana katika Halmashauri ya Mji Mafinga fedha ambazo zilitokana na Mauzo ya Miti.


Amesema TAKUKURU Wilaya ya Mufindi imekuwa ikifanya kazi kwa uaminifu Mkubwa hili linawadhihirishia wananchi kuwa tunatakiwa kurudisha imani kwenye chombo hiki na Serikali kuwa kazi inafanyika.


Naye Mkuu wa TAKUKURU Wilaya ya Mufindi Bw. Abdull Abdarahman amesema lengo na jukumu la TAKUKURU ni kuhakikisha Fedha na mali za Serikali zinatumika ipasavyo kwa madhumuni husika na fedha zinazotekeleza Miradi zinatumika kwa lengo kusudiwa nakwa uhalisia na Miradi inafanya kazi ipasavyo.


Amesema TAKUKURU imepambana, kusimamia na kurejesha fedha kwenye kijiji ili zitumike kwenye matumizi mengine na tukiona kuna dhana ya vitendo vya rushwa kwenye jamii tunafuatilia baada ya kupata taarifa kutoka kwa wananchi.


Aidha kikao hicho kimehudhuriwa na Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Iringa Ndugu Victor Swela na timu kutoka Mkoani, Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya ya Mufindi na Kaimu Mkurugenzi Mji Mafinga Ndugu Charles Mwaitege.


“kuzuia rushwa ni jukumu langu na lako tutimize wajibu wetu”


Imeandaliwa na Sima Bingileki

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Mji Mafinga

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI IMEENDESHA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KWA AWAMU YA PILI JIMBO LA MAFINGA MJINI

    May 02, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MBUNGE WA MAFINGA MJI AKABIDHI MITUNGI YA GESI

    May 01, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.