• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YATOA MAFUNZO KWA WASIMAMIZI WASAIDIZI NGAZI YA JIMBO NA ARO KATA MAFINGA MJI

Posted on: December 19th, 2024

Jaji wa Mahakama  Kuu ya Tanzania  na Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi  Mheshimiwa Asina Abdallah Omary amefungua mafunzo   ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura   kwa wasimamizi ngazi ya jimbo Halmashauri ya Mji Mafinga  mafunzo hayo yamehudhuriwa na  Watendaji wa Kata (ARO,s KATA )  na Waandikishaji wasaidizi ngazi ya Jimbo .

Mheshimiwa Jaji Asina Abdallah Omary amewapongeza Watendaji wote wakata  kwa kuaminiwa na kuteuliwa na kuapa kwaajili ya kufanya kazi hii kwa uadilifu na uzalendo mkubwa amewaeleza umuhimu wa mafunzo haya na kuyaelewa ili yaweze kufanyika kwa ukamilifu mkubwa  katika maeneo yetu  hivyo ARO KATA  mnawajibu  wa kuyajua mafunzo haya  ambayo ni matumizi ya mashine ya Bayometriki (BVR Kit) na ujazaji wa fomu mbalimbali kwa umakini mkubwa  na kuwa makini kwa kusoma  vitabu na makabrasha yaliyo tolewa na Tume .

Amewasisitiza  ARO KATA na Waandikishaji wasaidizi ngazi ya Jimbo kuhakikisha wanafanya  kazi kwa kufuata kanuni na sheria na kuacha kufanya vitu ambavyo havipo katika kanuni na sheria pia kujibu maswalli ambayo watakuwa wanaulizwa na wananchi ambao watakuwa wanajiandikisha katika maeneo yao na  kutoa  elimu juu ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura ili kujenga uwelewa kwa wananchi , hata hivyo amewataka watendaji wote kuhakikisha wanalinda  na kuvitunza  vifaa hivi kwa umakini mkubwa kwani vifaa hivi ni vya gharama kubwa sana Serikali imetoa pesa nyingi hivyo tuna wajibu wa kuvitunza ili vikatumike kwa wengine.

Aidha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Mafinga Bi Fedelica Myovella ameshukuru kwa nasaha ambazo zimetolewa na  Jaji wa Mahakama  Kuu ya Tanzania  na Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi  Mheshimiwa Asina Abdallah Omary kwa ARO KATA  na  Waandikishaji ngazi ya Jimbo  pia amesema Halmashauri itahakikisha inasimamia na kuendesha zoezi hili  kwa umakini na ushirikiano mkubwa ili kuwafikia wananchi wote kwenye maeneo yao  ambayo watakuwa wanaboresha taarifa zao katika daftari la kudumu la wapiga kura .

Michael Ngowi

Afisa Habari Halmashauri ya Mji Mafinga.




 

Wajumbe wakifatilia mafunzo   ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura   kwa wasimamizi ngazi ya jimbo Halmashauri ya Mji Mafinga  mafunzo hayo yamehudhuriwa na  Watendaji wa Kata (ARO,s KATA )  na Waandikishaji wasaidizi ngazi ya Jimbo .


Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA VIFUNGWE MFUMO WA GoT-HOMIS

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA YAPATA HATI SAFI YA UKAGUZI KUTOKANA NA TAARIFA YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI (CAG) KWA HESABU ZINAZOISHIA TAREHE 30 JUNI 2024

    June 19, 2025
  • HALMASHAURI YA NKASI YAITEMBELEA MAFINGA MJI KUBADILISHANA UZOEFU

    June 18, 2025
  • MWANZA NA DODOMA ZATINGA FAINALI SOKA WAVULANA UMITASHUMTA 2025

    June 17, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.