• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

" TUSIMAME KATIKA MISINGI YA KUTUNZA MAADILI NA KUTUNZA AMANI YA NCHI YETU, MASHUJAA WETU WAMEPIGANIA NCHI NA UHURU NA WAMETOA REHANI MAISHA YAO, HEBU TUWAENZI KWA KUFANYA KAZI KWA BIDII, KUTUNZA MAADILI YETU NA KUKATAA UVIVU"

Posted on: July 28th, 2023

“ Mashujaa wa Nchi yetu walipigani Umoja, Uhuru na Amani, hivyo ni wajibu wetu sisi kulinda Amani na kutunza maadili tuliyoachiwa ili kuwaenzi Mashujaa hao walio toa rehani Maisha yao kwa ajili Nchi yetu”


Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mheshimiwa Dkt. Linda Salekwa  kwenye Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa ambapo Kiwilaya Maadhimisho yamefanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya Mji Mafinga kwa kuwaombea Dua Mashujaa waliopigania Uhuru na Amani ya Nchi yetu.


“Tusimame katika Misingi ya kutunza maadili na kutunza Amani ya nchi yetu, mashujaa wetu wamepigania nchi na Uhuru na wametoa rehani maisha yao, hebu tuwaenzi kwa kufanya kazi kwa bidii, kutunza maadili yetu na kukataa uvivu.”


Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amekuwa mstari wa mbele katika kuenzi na kudumisha mila za nchi na utamaduni wetu ikiwa ni pamoja na kulinda Maadili yetu. Tuungane nae kila mmoja kwa nafasi yake atimize wajibu wake. Kwa kufanya hivi Taifa letu litakuwa salama.


Katika Maadhimisho hayo ya Siku ya Mashujaa Dua mbalimbali zimefanyika kuwaombea mashujaa wetu kutoka kwa viongozi wa dini.Dua hizo zimeongozwa na

Sheikh Adam Kavenuke Katibu wa Bakwata Wilaya ya Mufindi,Mchungaji Josephat Mtweve na Askofu William  Ambakisye.


Aidha Nae, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Mafinga Mheshimiwa Regnant Kivinge amesema kuwa dhamira zetu zitukumbushe tuone tunafanya nini kwaajili ya Taifa letu.


Aidha Maadhimisho hayo yameadhinishwa kwa kutolewa historia fupi ya Mashujaa, Dua kutoka viongozi wa Dini na hotuba ya Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mheshimiwa Dkt Linda Salekwa na Kuhudhuriwa na Katibu Tawala Wilaya ya Mufindi Ndugu, Frank Sichalwe, Mkurugenzi wa Mji Mafinga Ndugu, Ayoub Kambi, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi ndugu, Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya, viongozi wa dini pamoja na watumishi Halmashauri  za Wilaya ya Mufindi.


IMETOLEWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI-MAFINGA TC


Sima Bingileki


Mkuu wa Kitengo Cha Mawasiliano Serikalini-Mafinga TC

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI IMEENDESHA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KWA AWAMU YA PILI JIMBO LA MAFINGA MJINI

    May 02, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MBUNGE WA MAFINGA MJI AKABIDHI MITUNGI YA GESI

    May 01, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.