• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

UFUGAJI WA SUNGURA WABORESHA MAISHA YA MNUFAIKA WA TASAF-MAFINGA TC

Posted on: December 1st, 2022

UFUGAJI WA SUNGURA WABORESHA MAISHA YA MNUFAIKA WA TASAF-MAFINGA TC

Bi Angelamise Matandala (61) Mjane, mkazi wa Mjimwema katika Halmashauri ya Mji Mafinga Kata ya Boma anawatoto wawili walemavu wa akili mmoja wa Kike na mwingine wa kiume. Bi, Angelamise analea na kuhudumia watu 8 kwenye kaya yake na ni mnufaika wa Mpango wa TASAF-MAFINGA.

“Nimeweza kujenga nyumba hii ya bati japo haijaisha kutokana na Mpango wa kunusuru kaya maskini(TASAF) nikipata pesa nafuga,nalima vinyungu nauza mboga na nikipata pesa ndo nafanya mambo haya makubwa”

Baada ya kupokea fedha kutoka TASAF Bi, Angelamise ameweza kufuga sungura 12ambapo akipata fedha baada ya kuuza Sungura fedha hizo anajenga kuongeza mtaji wa sungura na fedha anazozipata kwenye kilimo zinaongeza kipato na kufanya maendeleo ya familia.

 “ Mpango huu wa TASAF Umenisaidia mno nimejenga japo nyumba sijamaliza, ninalima ninafuga yaani tangu mpango huu umeanza 2020 nipo kwenye Mpango hakika mpango huu  natamani uendelee. Namshukuru mama Samia Suluhu Hassan kwa kubali kutukoboa sisi wananchi wa hali ya chini.”

Aidha  Bi, Angelamise anajishughulisha na kilimo cha bustani ya mboga mboga inayomsaidia kwa chakula na kuongeza uchumi wa familia yake. Ameongeza kuwa kwa sasa anashamba hekari moja ambapo analima mahindi, viazi na njegele akiuza mazao hayo anapata fedha zinazomsaidia kwa chakula na kufanya maendeleo.

Akizungumza na mwandishi wa Habari hizi Mtendaji wa Mtaa Mjimwema Bi Anna Masoud amesema kuwa  katika mtaa wa Mjimwema kuna wanufaika 52 ambao wengi wao ni wale wanaojishughulisha na kilimo, mbogamboga, ufugaji na kuendeleza makazi.

Amesema kwa kuwa umri wake umesogea hawezi kujishughulisha na Mpango wa Ajira za muda kwa walengwa hivyo, binti yake anaenda kufanya shughuli hiyo na kupata malipo ya shilingi 30,000/- kwa mwezi.

Naye Mratibu wa Mpango wa kunusuru Kaya Maskini (TASAF III)Mafinga TC, Bwana stephen Mwendi amesema kuwa tangu mpango umeanza kwa Halmashauri ya Mji Mafinga, kuna jumla ya Kaya 1386

Na fedha zilizopokelewa kwa kipindi cha Septemba - Oktoba ni shilingi Milioni 41,918,200/- na Mpango unatelelezwa kwa kaya zote 9 za Halmashauri ya Mji.

Amesema Mpango umesaidia familia nyingi kupiga hatua za maendeleo kwani 80% ya kaya nufaika wanasomesha, wanajikimu na kipato cha familia  zao kimeongezeka kwa upande wa uchumi.

IMEANDALIWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI-MAFINGATC

Sima Bingileki

Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini-MafingaTC

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI IMEENDESHA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KWA AWAMU YA PILI JIMBO LA MAFINGA MJINI

    May 02, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MBUNGE WA MAFINGA MJI AKABIDHI MITUNGI YA GESI

    May 01, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.