• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

UJENZI WA JENGO LA WAGONJWA WA DHARULA (EMD) KUBORESHA UTOAJI HUDUMA -MAFINGA TC

Posted on: July 20th, 2022

UJENZI WA JENGO LA WAGONJWA WA DHARULA (EMD) KUBORESHA UTOAJI HUDUMA-MAFINGA TC.

Ujenzi wa Jengo la dharula Hospitali ya Mji Mafinga unalengo la kuboresha Utoaji wa huduma za dharula pamoja na Kupunguza vifo vitokanavyo na majanga ya dharula ikiwemo ajali. Jengo hili la kutoa huduma za dharula katika Hosdpitali ya Mji Mafinga lilianza kujengwa tarehe 24/2/2022 baada ya Mji Mafinga kupokea fedha kutoka Mpango wa Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya UVIKO-19 kiasi cha shilingi Milioni 300.

Akizungumza Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Mafinga Mheshimiwa Regnant Kivinge ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha na Utawala amesema Mkurugenzi wa Mji Bi, Happiness Laizer na wataalamu wake wanastahili pongezi kwani Usimamizi wa Miradi ya Maendeleo  unafanyika kwa umakini na kasi kubwa na thamani ya Miradi inaendana kabisa na fedha zilizotumika katika miradi husika.

Aidha, ameishukuru Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuleta fedha katika Halmashauri ya Mji Mafinga kwaajili ya Utekelezaji wa Miradi mbalimbali ya Maendeleo.

Kamati ya Fedha na Utawala ya Halmashauri ya Mji Mafinga imeahidi kutoa ushirikiano wakati wowote kwa Mkurugenzi na Timu yake pale watakapo hitaji ushauri ili kuhakikisha Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo katika Mji wa Mafinga inatekelezwa kwa kuzingatia muda husika na kwa ubora.

Jengo la EMD katika Halmashauri ya Mji Mafinga linatarajiwa kutoa huduma zifuatazo:-

Huduma za Dharula.

Huduma za Upasuaji Mdogo.

Huduma za wagonjwa  wa nje.

Huduma za Dawa  na huduma za Mapumziko kwa wagonjwa.


IMEANDALIWA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO-MAFINGA TC

Sima Bingileki

Afisa Habari Mkuu.

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA VIFUNGWE MFUMO WA GoT-HOMIS

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA YAPATA HATI SAFI YA UKAGUZI KUTOKANA NA TAARIFA YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI (CAG) KWA HESABU ZINAZOISHIA TAREHE 30 JUNI 2024

    June 19, 2025
  • HALMASHAURI YA NKASI YAITEMBELEA MAFINGA MJI KUBADILISHANA UZOEFU

    June 18, 2025
  • MWANZA NA DODOMA ZATINGA FAINALI SOKA WAVULANA UMITASHUMTA 2025

    June 17, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.