• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

UMISSETA NA UMITASHUMTA KUANZA KUTIMUA VUMBI IRINGA

Posted on: June 9th, 2025

Timu kutoka Mikoa mbalimbali nchini imeanza kuwasili Mkoani Iringa kwaajili ya kushiriki Mashindano ya UMISSETA na UMITASHUMTA ambayo yataanza tarehe 8/6/2025 Mpaka tarehe 30/6/2025.


Akizungumza Afisa Michezo na Utamaduni Mkoani Geita Ndugu. Bahati Rodgers amesema, kutoka Mkoa wa Geita wanafunzi waliowasili ni 120 na walimu 16 na daktari mmoja ambapo wanasichana ni 59 na Wavulana ni 61 ambao watashiriki michezo yote na hasa kutetea Ubingwa wao wa mwakq 2024


“ Tunashukuru tumepokelewa vizuri na maandalizi hakika yanaendelea vizuri, tuipongeze kamati ya maandalizi na Wizara ya OR- TAMISEMI wanafunzi wamepata malazi na walimu pia. Kikubwa hapa ni kutetea Ubingwa maana mwaka jana 2024 kwemye UMITASHUMTA tulikuwa na vikombe 4 na UMISSETA makombe 3 na zaidi mwaka huu tumeongeza kushiriki Soka Maalumu na riadha na kurudi na ushindi Geita”


Nae Afisa Utamaduni Mkoa wa Songwe Ndugu

Godfre Atumigwe Msoka amepongeza maandaliza na mapokezi ambayo wamepata tangu wamefika Mkoani Iringa kushiriki Mashindano hayo .

Ameongeza kuwa Timu kutoka Songwe wamewasili wanafunzi 120 wakiwamo walimu 14 na watashiriki Michezo yote kwani wanatetea ubingwa wa Netbali nafasi ya pili na Mpira wa mikono kwa wavulana nafasi ya kwanza kwenye UMITASHUMTA 2024


Mashindano haya yanatarajiwa Kuzinduliwa na Waziri Mkuu Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa na viwanja vitakavyo tumika kwenye michezo hiyo ni viwanja vya Shule ya Sekondari Lugalo, Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Iringa na Viwanja vya Chuo cha Walimu Kreluu

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA VIFUNGWE MFUMO WA GoT-HOMIS

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA YAPATA HATI SAFI YA UKAGUZI KUTOKANA NA TAARIFA YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI (CAG) KWA HESABU ZINAZOISHIA TAREHE 30 JUNI 2024

    June 19, 2025
  • HALMASHAURI YA NKASI YAITEMBELEA MAFINGA MJI KUBADILISHANA UZOEFU

    June 18, 2025
  • MWANZA NA DODOMA ZATINGA FAINALI SOKA WAVULANA UMITASHUMTA 2025

    June 17, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.