• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

UONGOZI WA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA WAKUTANA NA WATUMISHI WAPYA WA IDARA YA AFYA

Posted on: September 30th, 2025

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Mafinga, Bi. Fidelica Myovella, amezungumza na watumishi wapya wa Idara ya Afya waliopata ajira hivi karibuni, akisisitiza umuhimu wa ushirikiano wa kikazi, kufanya kazi kwa umoja na mshikamano, pamoja na kuwa daraja la huduma bora kwa wananchi.


“Twende tukafanye kazi, siyo kushindana. Tuwe wasikivu na si kutengeneza vizuizi, bali tuwe daraja la wale tunaowahudumia,” Amesema Bi. Fidelica, akihimiza maadili mema ya utumishi wa umma.


Kwa upande wake, Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Mji Mafinga Dkt. Bonventula Chitopela, aliwakumbusha watumishi hao kuzingatia taratibu, kanuni na miongozo ya utumishi wa umma, na kuwahimiza kutafuta ufafanuzi pale wanapokutana na changamoto na kutoa taarifa kwa mamlaka husika badala ya kufanya maamuzi bila uelewa wa kutosha .


Pia Katibu wa Afya Gusebius Ngatunga amewaeleza wasisite kutoa ushauri katika swala lolote pale wanapoona wanaweza kuboresha zaidi kwani inawezekana wakawa na uzoefu mzuri katika jambo fulani hivyo wawe huru kutoa mawazo yao.


Naye Muuguzi Mkuu wa Halmashauri ya Mji Mafinga Verichita Mchami amesisitiza kila mtu ahakikishe analeseni hai ya kutoa huduma ya Afya na pia wazingatie maadili ya wauguzi kwa kutoa huduma yenye staha.


Na,

Anna Mdehwa.

Afisa Habari.

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • MAAFISA MIFUGO MAFINGA WAPATIWA VISHIKWAMBI KWA AJILI YA ZOEZI LA KUCHANJA NA KUTAMBUA NG’OMBE 10,000

    October 01, 2025
  • USHIRIKIANO WA WALIMU, WAZAZI NA WANAFUNZI WASISITIZWA ILI KUFANIKISHA MAFANIKIO YA KIELIMU

    October 01, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA INAJENGASHULE MPYA YA MSINGI JJ MUNGAI -MILIONI 326.5(BOOST)

    October 01, 2025
  • UONGOZI WA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA WAKUTANA NA WATUMISHI WAPYA WA IDARA YA AFYA

    September 30, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.