• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

WAHESHIMIWA MADIWANI WA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA WAKIWA WAMEONGOZANA NA MKUU WA WILAYA YA MUFINDI MHE. DKT. LINDA SALEKWA, MKURUGENZI BI FIDELICA MYOVELLA, KATIBU TAWALA NDG REUBEN CHONGOLO NA BAADHI YA WATAALAMU WAMEFANYA ZIARA YA JIJINI ARUSHA

Posted on: May 21st, 2025

Waheshimiwa Madiwani wa Halmashauri ya MJI Mafinga wakiwa wameongozana na Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mhe. Dkt. Linda Salekwa, Mkurugenzi Bi Fidelica Myovella, Katibu Tawala Ndg. Reuben Chongolo na baadhi ya Wataalamu wamefanya ziara ya Jijini Arusha kujifunza kuhusu :-

-Ukusanyaji wa mapato yatokanayo na Leseni za Biashara

-Uendeshaji wa Maegesho ya malori.

-Uendeshaji wa huduma za usafi.

-Uzoefu katika Utekelezaji wa miradi mikubwa ya maendeleo kwa kutumia mfumo wa Force Account

-Ukusanyaji wa mapato yatokanayo na chanzo cha Taka na Uzoefu kwenye uendeshaji wa Shule za Msingi za Mchepuo wa kiingereza


Akizungumza Mwenyekiti wa MJI Mafinga Mhe. Regnant Kivinge amesema Halmashauri inatekeleza Miradi Mikubwa ya Kimkakati ya Shule, Masoko na hospitali na Miradi ya TACTIC inayotarajiwa kujenga Stendi ya Kisasa ya Mabasi eneo la Kinyanambo na Ujenzi wa Barabara kadhaa katika MJI wa Mafinga kuanzia mwezi Julai-Agosti 2025.


“Halmashauri ya MJI Mafinga mpaka sasa tunashule moja ya mchepuo wa kingereza ambayo inafanya vizuri sana na tunampango wa kuongeza Shule nyingine ya Mchepuo wa kingereza, tunataka kuboresha ukusanyaji wa Mapato rafiki bila kuwaudhi wananchi wetu lengo likiwa ni kutekeleza Miradi ya Maendeleo na kuongeza mapato


Naye DC- Mufindi Mhe. Dkt. Linda Salekwa amesema Wilaya ya Mufindi inakua kwa kasi kubwa hivyo kuja kujifunza ni mkakati wa kuboresha Ukusanyaji wa Mapato na utoaji huduma bora kwa wananchi.


“ Hakika Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amelenga kuhakikisha sekta zote Zina natoa huduma tarajiwa kwa wananchi Kwani Miradi tunayoona inatekelezwa Arusha, Mufindi na maeneo mengine ya Nchi hakika inagusa maisha ya wananchi.


Waheshimiwa Madiwani wametembelea Ujenzi wa Uwanja wa kisasa wa AFCON unaojengwa na Serikali ya Tanzania kwa gharama ya shilingi Bilioni 286 na utakuwa na uwezo wa kuchukua watu zaidi I ya 32,000 ambapo ujenzi wake umefikia asilimia 80.


Ujenzi wa Hospitali ya Nyota tano inayojengwa kwaajili ya kutoa huduma za Afya za kitalii na maeneo ya Shule na Masoko


Waheshimiwa Madiwani Wamepokelewa na Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha Mhe. Maximillian Iraqhe ambaye ni Diwani wa kata ya Kaloleni


Sima Bingileki

Afisa Habari Mkuu




Picha mbalimbali za Waheshimiwa Madiwani na Wataalamu wakiwa katika ziara ya kujifunza mambo mbalimbali katika Halmashauri ya Jiji la Arusha.

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • WAHESHIMIWA MADIWANI WA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA WAKIWA WAMEONGOZANA NA MKUU WA WILAYA YA MUFINDI MHE. DKT. LINDA SALEKWA, MKURUGENZI BI FIDELICA MYOVELLA, KATIBU TAWALA NDG REUBEN CHONGOLO NA BAADHI YA WATAALAMU WAMEFANYA ZIARA YA JIJINI ARUSHA

    May 21, 2025
  • MADIWANI WA HALMASHAURI YA MJI WA MAFINGA WILAYA YA MUFINDI MKOANI IRINGA WAMEMSHUKURU MKURUGENZI WA HALMASHAURI HIYO, FIDELICA MYOVELLA KWA UMAHIRI WAKE KATIKA UTENDAJI KAZI KATIKA HALMASHAURI HIYO.

    May 16, 2025
  • MADIWANI WA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA WAMEAZIMIA KUMUUNGA MKONO RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DR SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA UCHAGUZI UJAO 2025

    May 16, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA MUFINDI DKT LINDA SALEKWA AWAPONGEZA MADIWANI WA HALMASAHAURI YA MJI MAFINGA

    May 15, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.