• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

WANANCHI WAPATIWA ELIMU KUHUSU VYANZO VYA MAJI NA MAENEO OEVU- MAFINGA.

Posted on: September 19th, 2023

Wananchi wanaojishughulisha na kilimo maeneo yaliyo karibu na vyanzo vya maji Katika Kata ya Boma  Halmashauri ya Mji Mafinga wamepewa Elimu kuhusu namna ya kutunza vyanzo vya maji na mpango wa Halmashauri wa kupanda miche ya miti ili kulinda vyanzo hivyo.


 Akizungumza Mkuu wa Kitengo Cha Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira Ndugu Demitrus Kamtoni amesema kuwa lengo la Serikali ni kuhakikisha vyanzo vya maji vinatunzwa na kuhifafhiwa ili kuepuka kukauka kwa vyanzo hivyo ambavyo vitaleta madhara kwa viumbe hai.


“ Tunalima hadi kwenye mkondo wa Maji, hebu tiache mita 60 ndo tuanze shughuli zetu huko.Tusilime hadi kwenye vyanzo vya maji, tutunze kilichopo ili kiweze kutusaidia, mnalima vinyunguni hadi mnachepusha maji sio sawa? Maji yanategemewa  na viumbe hai vyote. Tuyatunze”


Ameongeza kuwa Halmashauri ya Mji Mafinga imepanga kugawa miche aina ya mivenji ili ipandwe baada ya mita 60 kandokando ya chanzo cha maji ili kuhifadhi maji, miche hiyo itakabidhiwa kwa wakulima katika maeneo ya mabondeni.


Aidha Ndugu Kamtoni amesema kuwa, miti iliyopandwa karibu na vyanzo vya maji aina ya milingoti na Mipaina itatakiwa kuondolewa kwani inakausha maji na itaondolewa kwa kibali maalum.


Naye Mzee Obeleti Mnyinga baada ya kupokea elimu hiyo amesema  wananchi wa Ihongole wapo tayari kutoa ushirikiana kwa Serikali ili kuwabaini wanaolima ndani ya mita 60 ya vyanzo vya maji na wanasubiri miche hiyo ya miti wataipanda na kuhakikisha wanaitunza.


Elimu ya utunzaji wa mazingira na vyanzo vya maji inaendelea kutolewa na Halmashauri ya Mji Mafinga kupitia Kitengo cha Maliasili na Uhifadhi wa mazingira.


IMETOLEWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI- MAFINGA TC


Sima Bingileki

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini- Mafinga TC

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI IMEENDESHA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KWA AWAMU YA PILI JIMBO LA MAFINGA MJINI

    May 02, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MBUNGE WA MAFINGA MJI AKABIDHI MITUNGI YA GESI

    May 01, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.