• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

WATAKAO SABABISHA KUWEPO HOJA KWA MAKUSUDI, MAFINGA MJI KUCHUKULIWA HATUA -RC IRINGA

Posted on: June 16th, 2022

“Wale wanaosababisha kuwepo kwa Hoja kwa makusudi  kwenye Halmashauri yetu ya Mji Mafinga wachukuliwe hatua, kwani Halmashauri imekuwa ikifanya vizuri kwa miaka sita mfululizo na kupata hati safi, hivyo hatutaki doa na katika eneo la ukusanyaji wa mapato, Mafinga Mji imefanya vizuri kwani kiasi cha shilingi Bilioni 5.5 sio haba mmekusanya vizuri, Niwapongeze Waheshimiwa Madiwani na Mkurugenzi Bi, Happiness Laizer na Timu yake kwa kazi nzuri”

Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mheshimiwa Queen Sendiga kwenye Mkutano maalumu wa Baraza la Madiwani kupitia hoja za Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali kwa mwaka wa fedha 2020/2021 uliofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Mji Mafinga.

Mkuu wa Mkoa amesema, Halmashauri lazima ijipange katika kubuni vyanzo vingine vya mapato ili kuweza kuongeza mapato ya Halmashauri.

Aidhaa katika  Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo Mheshimiwa Queen Sendiga amesema Halmashauri ihakikishe Miradi ya Maendeleo inatekelewa kwa kasi na kwa ubora unaotakiwa na fedha zilizotengwa kwaajili ya utekelezaji wa Miradi hiyo zote ziende na kuelekezwa huko bila kukosa.

Kuhusiana na zoezi la Sensa ya watu na makazi tarehe 23 Agosti, Mkuu wa Mkoa ameomba uhamasishaji uendelee kutolewa kwa wananchi ili zoezi liende kufanikiwa kwa maendeleo ya Taifa letu.

Ameongeza kuwa |Ukatili umekuwa ni tishio katika Mkoa wa Iringa, Hivyo tuwe wazi kusema kuhusu matukio ya ukatili kwa watoto wetu. Sio sawa wala haimpedezi Mungu kuwafanyia ukatili watoto wadogo, tusaidiane kuwabaini wanaofanya vitendo vya ukatili kwa watoto ili sheria zichukue mkondo wake na tuwe na hofu ya Mungu. Viongozi wa dini suala hili lisemwe popote ili kuwalinda watoto wetu dhidi ya vitendo vya ukatili dhidi yao.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mheshimiwa Saad Mtambule ameipongeza halmashauri ya mafinga mji kwa utekelezaji wa miradi ya maendeleo na ukusanyaji wa mapato.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Mafinga Mheshimiwa Regnant Kivinge amemuhakikishia Mkuu wa Mkoa kuwa Ushirikiano ni Mkubwa kwenye Halmashauri na Ushauri wowote unaotolewa kwenda kwa Wataalamu katika sekta mbalimbali unafanyiwa kazi na wataalamu. Hivyo Halmashauri itaendelea kupata Hati safi na Miradi ya maendeleo itatekelezwa kwa ubora unaotakiwa.

Wakati huo huo, Mkurugenzi wa Mji Mafinga Bi, Happiness Laizer amesema kuwa atahakikisha Hoja zote zilizosalia zitatafutiwa majibu na majibu hayo yatawasilishwa kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa  Hesabu za Serikali kwaajli ya Uhakiki.

Viongozi mbalimbali ngazi ya Mkoa walihudhuria Baraza hilo Akiwemo Muwakilishi wa RAS Mkoa wa Iringa Ndugu Wilfred Muyuyu  na Wataalamu wa ukaguzi ngazi ya mkoa, Wataalamu wa Halmashauri pamoja na wananchi wa Mji Mafinga.


Imeandaliwa na Ofisi ya Habari na Mawasiliano Mafinga Tc

Sima Bingileki

Afisa Habari Mkuu

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI IMEENDESHA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KWA AWAMU YA PILI JIMBO LA MAFINGA MJINI

    May 02, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MBUNGE WA MAFINGA MJI AKABIDHI MITUNGI YA GESI

    May 01, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.