• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

WATUMISHI HALMASHAURI YA MJI MAFINGA WAPEWA MAFUNZO YA UKAGUZI WA NDANI

Posted on: October 10th, 2025

Watumishi wa Halmashauri ya Mji wa Mafinga wamepewa Mafunzo ya Ukaguzi wa ndani katika Ofisi za Halmashauri kwa lengo la kupata Elimu ya Kujikagua katika Idara au Vitengo vyao kabla ya Kukaguliwa na Kitengo Cha Ukaguzi wa ndani.


Mkuu wa Kitengo Cha Ukaguzi wa ndani CPA Godson Kapinga Amesema kuwa umuhimu wa kutoa hayo Mafunzo kwa Watumishi wa Halmashauri ni kuimarisha uwezo wa Idara au Kitengo katika kulinda na kudumisha thamani ya Utoaji wa Huduma kwa Jamii pia kusaidia katika kukuza Maadili yanayofaa na Usimamizi bora katika Utendaji wa Kazi.


“Lengo la mafunzo haya ni kuwapa Elimu ili mpate uelewa ambao utawasaidia Kujikagua ipasavyo katika Idara na Vitengo vyote vya Halmashauri ili kujua Ubora na Upungufu kabla ya Ukaguzi wa ndani haujawafikia,pia Wakaguzi wa ndani kabla ya kufanya Ukaguzi lazima Wazingatie Mpango mkakati na Sheria zitakazowaongoza katika kufanya Ukaguzi.” Amesema.


Pamoja na hayo Afisa Ukaguzi wa ndani Ndugu Robert Kwayu amesema kuwa Idara na Vitengo vyote vya Halmashauri ni Wakaguzi kwa jinsi Wanavyofuata Miongozo na Sheria za Kazi ndivyo Wanasaidia Ukaguzi wa ndani pia Kazi zifanyike kwa Ubora na Utoaji wa Taarifa uwe wa Kuaminika.


Ukaguzi wa ndani ni shughuli huru yenye lengo maalumu la kutoa Uhakiki na Ushauri unaolenga kuongeza Tija na Kuboresha Utendaji katika Halmashauri kwa kuzingatia Usimamizi na Kuimarisha Uthibiti wa ndani na Utawala Bora.


Vedasto Faustine Malima

Afisa Habari.

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • WATUMISHI WA AJIRA MPYA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA WAPEWA MAFUNZO YA MFUMO WA KIELEKTRONIKI-MUKI

    November 21, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA IMEANZA MIKAKATI YA KUTOKOMEZA UDUMAVU

    November 20, 2025
  • KUFANYIKA KWA MTIHANI WA TAIFA WA KUMALIZA KIDATO CHA NNE TAREHE 17/11/2025 HADI TAREHE 5/12/2025

    November 17, 2025
  • TAMISEMI WAKUSANYA MAONI KWA NJIA YA DODOSO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA KUHUSU MPANGO MKAKATI WA MWAKA 2021-2026

    November 14, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.