• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

WAZAZI WAIOMBA SERIKALI KUJENGA SHULE NYINGINE YA MCHEPUO WA KINGEREZA (ENGLISH MEDIUM )KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA

Posted on: July 22nd, 2025

WAZAZI WAIOMBA SERIKALI KUJENGA SHULE NYINGINE YA MCHEPUO WA KINGEREZA (ENGLISH MEDIUM )KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA.

“Tunaiomba Serikali ijenge Shule nyingine ya Mchepuo wa Kingereza kama hii ya Chief Mkwawa English Medium kwa wazazi wanaotamani kusomesha watoto wao shule kama hizi kwani imekuwa ni Shule ya mfano kwa Shule za Mchepuo wa Kingereza  ufaulu ni  mzuri, Ada yake unaweza kulipa kwa Awamu, watoto wanakula chakula bora, Usafiri wa kutosha na walimu wenye ujuzi wa kutosha . Tunamshukuru sana Rais wetu Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuwathanini watoto wetu kwa kuwaletea elimu bora. Tunaiomba Serikali ijenge shule nyingine maana hii tayari imeanza kujaa na wazazi wanaikimbilia kwakuwa ufundishaji na elimu inayotolewa na huduma hakika sisi wazazi tunarizika”

Kauli hiyo imetolewa na Mzazi Bi, Tumaini Kikumbwe alipokuwa anazungumza na mwandishi wa habari hizi alipotembelea na kujionea mafanikio makubwa katika Shule hiyo ya Kingereza inayomilikiwa na Serikali chini ya Uongozi wa Halmashauri ya Mji Mafinga.

Chief Mkwawa English Medium ni Shule ya Serikali  ya Mchepuo wa Kingereza  inayomilikiwa na Halmashauri ya Mji Mafinga


Shule imesajiliwa rasmimwaka 2023 kwa usajili wa namba EM 20111 nakuanza kudahili  wa wanafunzi tarehe 12 Januari 2024. Shule ina jumla ya wanafunzi 225.

Na

Sima BINGILEKI

Afisa Habari Mkuu

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • WAHIMIZENI WANANCHI KUTUMIA MFEREJI WA UMWAGILIAJI -MTULA

    July 21, 2025
  • WAZAZI WAIOMBA SERIKALI KUJENGA SHULE NYINGINE YA MCHEPUO WA KINGEREZA (ENGLISH MEDIUM )KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA

    July 22, 2025
  • SHULE MPYA 8 ZA SEKONDARI NA MSINGI ZAJENGWA 2021-2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA

    July 08, 2025
  • TAA ZA BARABARANI ZA UMEME JUA HATUA MPYA YA MAENDELEO KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA

    July 09, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.